Ngoja niibe hela tukanyweUpo wapi?



,,au ntakupigia.Ngoja niibe hela tukanywe
Kuna sehemu nipo Kwa sasa mchumba.
Kama unaweza kuja njoo PM nikuelekeze,,au ntakupigia.View attachment 1966630




Uko free??

Mungu awalinde wanetuTahadhari,
Kumetokea sontofahamu moja hv nyumbani kwangu leo ambapo gari la mtoto lilipita mapema mno na wakaomba mtoto wa chekechea, wakisema gari yake ambayo inapitaga saa tatu imejaa, tukastuka kidogo na kusema hapana, wale jamaa kuona hilo hata hawakuongea wakaondoka, tunapiga simu shule tunaambiwa hakuna kitu kama hicho. Chukua tahadhari kama mzazi.. ...wameanza tena.Mkoa wa Dar es Salaam. Ikumbukwe pia kuwa school buses zipo nchi nzima na watoto wetu wote wapo vulnerable. Tusambaze ili wazazi tusiwe tunachukua majibu mepesi
Please send this to many Groups as much as possible

Nguvu za kirohoNgoja niibe hela tukanywe
Kuna sehemu nipo Kwa sasa mchumba.
Kama unaweza kuja njoo PM nikuelekeze,,au ntakupigia.View attachment 1966630
Nimeanza tayari....Uko free??
labda uje nilipo tuMUHUBIRI Anasema "Bali pesa ni jawabu la mambo yote"Nguvu za kiroho
Njoo unichukue mchumba😉Nimeanza tayari....labda uje nilipo tuView attachment 1966686
Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
Upo wapi?...nipo na taste bia mpya "flying fish"Njoo unichukue mchumba![]()
kuna bia toleo jipya? unakuja?nipo home.
Huna habari?kuna bia toleo jipya? unakuja?nipo home.
😂
Upo wapi?
kweli dunia inakimbia.Njoo basi mchumba unichukue
![]()
Nipo matembezini muda huu
@Saint Anne unachekesha kwerikweri.Eti amepanda ngazi kaniacha chini,nashangaa zinavyotembea
Nikamwambia mimi sipandi,..
Akashuka kunichukua ili tupande wote..sasa hapo ndo alijikoroga
Ameweka mguu wakati mimi bado wakati tulikubaliana tunaweka kwa pamoja huku nimemshika mkono..
Nikamvuta
Yaani nilitaka umiza mtoto wa mtu
Mbeya hivyo vitu havipo jamani
Bado nipo mchumba.