Kweli wajukuu leo mmeamua kunitesa, yaani hapa nilipoteza miwani yangu imenibidi kutumia ya Bibi yenu ili niweze kuwazoom vizuri. Natamani ningekuwa Kijana πππππ»
Nakuja manake si kwa Guu hilo, nitaomba angalau uniruhusu nikuguse hata mkono wako niamini kama ni wewe. Manake Mimi ni kizazi cha mwisho cha akina Thomaso tusioamini πππ»ππ»