Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 47,163
- 188,662
Wachana na hiyo sura ya mjomba, Wapi jeipiii?
Wachana na hiyo sura ya mjomba, Wapi jeipiii?
Nimepita sokon Leo pale town manzese, yaan hawa bei chee kabisa dumla elf 6 af madafu yaan wabichii, nmenunua dumla 2,
Asee,huwa natamani kunyoa,lakini nikiwaza kuanza kuzisuka tena,oooh nachokaHakiii nimekoma.
Nimekunywa panadol
Vodacom tabia hii ni kwa nani mwingine? Inakera sana.. Nawapataje kuongea nao? Maana namba 100 sijasikia kipengele cha zungumza na mtoa huduma wetu.View attachment 1957526
Mambo magumu... 🤣
Paka diclopar/Diclofenac ile ya kuchua
Umependeza
Twende kilioni safi,Mtakatifu kichwa kinaumaje hapa? Sijui kama nitatoboa Saint Anne View attachment 1957531
iv nan kauambia usuke vile? Shem atakukimbia ujue?Ujasiri wa kucheka dada zako unautoa wapi?
Yaan,wewe Kama mieeNimepita sokon Leo pale town manzese, yaan hawa bei chee kabisa dumla elf 6 af madafu yaan wabichii, nmenunua dumla 2,
Nimeshinda kutafuna wa iv iv bila kupika.
dumla 2 kufka home nmekaa nazo jikon, natafnaa tyuuh, mom anashtka dagaa wamepungua San had kaniuliza jiko lipo tumbon kwangu, daaahYaan,wewe Kama miee
Mid nawatafuna tu,madafu Rana kuwatafuna tu sip kupika na nyanya sijui khaa
ukashushia na maji,aaaaaaaahdumla 2 kufka home nmekaa nazo jikon, natafnaa tyuuh, mom anashtka dagaa wamepungua San had kaniuliza jiko lipo tumbon kwangu, daaah
Nshashiba mbna, nlvoshushia maji bas nipo iv ndiiih, kula tena had kesho asubuh wakat wa chai.ukashushia na maji,aaaaaaaah
Nguvu hizo hana 😀iv nan kauambia usuke vile? Shem atakukimbia ujue?
nakubali nakubali....na nimeku dm
Utazoea tu.Mambo magumu...
Tukalewee hela za watunakubali nakubali....na nimeku dm
Ina uzi 😆Utazoea tu.
Nywele ya twende kilioni haiumi ..labda ingekuwa ya uzi.