Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,508
- 203,230
Wachana na hiyo sura ya mjomba, Wapi jeipiii?
Wachana na hiyo sura ya mjomba, Wapi jeipiii?
Nimepita sokon Leo pale town manzese, yaan hawa bei chee kabisa dumla elf 6 af madafu yaan wabichii, nmenunua dumla 2,




Asee,huwa natamani kunyoa,lakini nikiwaza kuanza kuzisuka tena,oooh nachokaHakiii nimekoma.![]()
Nimekunywa panadol
Vodacom tabia hii ni kwa nani mwingine? Inakera sana.. Nawapataje kuongea nao? Maana namba 100 sijasikia kipengele cha zungumza na mtoa huduma wetu.View attachment 1957526




Mambo magumu... 🤣
Paka diclopar/Diclofenac ile ya kuchua
Umependeza
Twende kilioni safi,




Ujasiri wa kucheka dada zako unautoa wapi?


iv nan kauambia usuke vile? Shem atakukimbia ujue?Yaan,Nimepita sokon Leo pale town manzese, yaan hawa bei chee kabisa dumla elf 6 af madafu yaan wabichii, nmenunua dumla 2,
Nimeshinda kutafuna wa iv iv bila kupika.![]()
wewe Kama miee
Yaan,wewe Kama miee
Mid nawatafuna tu,madafu Rana kuwatafuna tu sip kupika na nyanya sijui khaa![]()



dumla 2 kufka home nmekaa nazo jikon, natafnaa tyuuh, mom anashtka dagaa wamepungua San had kaniuliza jiko lipo tumbon kwangu, daaahdumla 2 kufka home nmekaa nazo jikon, natafnaa tyuuh, mom anashtka dagaa wamepungua San had kaniuliza jiko lipo tumbon kwangu, daaah





ukashushia na maji,aaaaaaaahNshashiba mbna, nlvoshushia maji bas nipo iv ndiiih, kula tena had kesho asubuh wakat wa chai.ukashushia na maji,aaaaaaaah




Nguvu hizo hana 😀![]()
iv nan kauambia usuke vile? Shem atakukimbia ujue?![]()
nakubali nakubali....na nimeku dm
Utazoea tu.Mambo magumu...![]()
Tukalewee hela za watunakubali nakubali....na nimeku dm

Ina uzi 😆Utazoea tu.
Nywele ya twende kilioni haiumi ..labda ingekuwa ya uzi.