cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,160
- 181,296
njooo nikuoneshe namna gani inafanywa mpaka iwe hivo



ni train hapa hapa bas lolnjooo nikuoneshe namna gani inafanywa mpaka iwe hivo



ni train hapa hapa bas lol
apo utasaviwaaa msukule wangunaye asiombe ombe utamu.
Chipsi tangu mbeya nakula sana na huwa napika mara nyingi nikijisikia kula.Ushafka dar na ushazielewa chips![]()
Chipsi tangu mbeya nakula sana na huwa napika mara nyingi nikijisikia kula.
Asubuhi ndicho chakula pekee kilichokuwepo nyumbani nilichoona ni cha haraka kupika.



kwa kweli hapan chips zimenipita kushoto, kna siku nlijaribu kula tena nlinunuliwa nionje tyuuh aaaah, nlitapika na kichefu chefu mda wote. Sitaki hata.Uwe unakula na limaokwa kweli hapan chips zimenipita kushoto, kna siku nlijaribu kula tena nlinunuliwa nionje tyuuh aaaah, nlitapika na kichefu chefu mda wote. Sitaki hata.



Nipasie mkuu Kama ni data collection hata kwa wiki 1.Ni project fulani mkuu ya tulipewa hapo ofisini ni NGO.
Uwe unakula na limao![]()


siwezi mie, chips hazikuwekwa kwa ajiri yangu. LolAiseeDred fulani hiviView attachment 1952313
Wewe ni yanga? Mwenzangu kumbe