Ile picha sio yangu,ni hii ya kwa avatar yangu ndio nilitumaPicha ya ile vest yako nyeupe uliyoituma
Ile picha sio yangu,ni hii ya kwa avatar yangu ndio nilituma
Hallelujah
Nakuja mwenyewe Mimi siwezi kukusaliti .
Hivi hii picha kama ningekuwa nakufahamu nisingekujua kweli?😂😂😂😂
Nakuja mimi jamaniNjoo kule basi
OoohHow?!! Afu me mwenyewe nilishtuka sehemu niliyomqoute haikuwa Sawa
Namuitia issue za urembo tu kuna nyuzi zake nimeziona sema sijataka kuzifufua ndio maana nimemuita pm
Hapa mkuuHapa au PM
Lips, vidole![]()
Mwenye hiyo tshet niko nyuma yake kabisaa
Hivi hii picha kama ningekuwa nakufahamu nisingekujua kweli?
Ikifika safari ya 14 uniite nije nione new selfie
Mrefu Hadi raha.
Pampula kunywa haraka haraka basi ili usahau.
Mie nakunywa reddsUnafanya nini?![]()
Kuna jamaa unafanana naye sana, sema yeye msambaahebu nicheki sina hata hirizi