Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

azam embe yenye alchohol........selfika laleni salama


mimi GERALD nawakubali sana
20210921_234957.jpg


Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Hahaaa sasa hapo kwenye kudondosha simu hapo ndipo shida ilipo. Ila ungekuwa mtunzaji mzuri kama mimi ungefaidi sana hii brand.

Uzuri samsung zipo hadi za laki mbili siyo lazima ununue zile ambazo bei yake ni ugonjwa wa moyo. Kwahiyo hizo hata ukidondosha unaipaki tu kiroho safi.
Hongera mno. Me inadondoka Sana, nikijitahidi kwa siku inaweza pita bila kudondoka Ila week sitoboi.


Kupaki simu labda uwe huipendi Sana. La sivyo kila ukifungua droo utakuwa unaumia.
 
kuna shoti
hio ni circuit breaker
Shoti tena? Hebu usinitishe, nipo mwenyewe.

Umezima paap nikahisi ni luku, nimenunua nimeweka bado hauwaki. Ndio nikapata akili ya kuchungulia main switch nakuta kale kadude kamejifyatua 'kujizima.
 
Shoti tena? Hebu usinitishe, nipo mwenyewe.

Umezima paap nikahisi ni luku, nimenunua nimeweka bado hauwaki. Ndio nikapata akili ya kuchungulia main switch nakuta kale kadude kamejifyatua 'kujizima.
kapandishe juu tu,
kama kakienda chini tena tafuta sehemu kuna shoti
 
Shoti tena? Hebu usinitishe, nipo mwenyewe.

Umezima paap nikahisi ni luku, nimenunua nimeweka bado hauwaki. Ndio nikapata akili ya kuchungulia main switch nakuta kale kadude kamejifyatua 'kujizima.

Mhmh mrembo [mention]Depal [/mention],kama uko mwenyewe nipe location nije kufanya troubleshooting ya hiyo Short circuit
 
Back
Top Bottom