Haishauriwi kiafya kutumia hivi vinywaji.
Madhara yake ni makubwa sana kuliko, kuliko faida ya muda mfupi, hasa ukiwa ni mtumiaji wa mara kwa mara.
Hakuna dawa ya kuchoka.
Bali unapaswa kutii (bila shuruti), pindi mwili na akili inapokupa vishiria vya kuwa kuchoka.
Je nini cha kufanya.
- Pata kikombe kimoja cha Maziwa fresh, ukiwa na kahawa itakuwa vyema zaidi.
- Usiweke sukari
-KishaJipumzishe japo kwa dakika 30, kisha endelea na shughuli zako ukiwa na utimamu wa mwili na akili.
View attachment 1931966