Kwa mahesabu ya haraka haraka hizo ni kama $40,000 siyo
Daah ila pesa yetu iko chini na haina thamani kabisa
Yani M90 zetu na ushee kwa hela yao unatembea nazo zikiwa katika vibunda vichache kama hivyo
Sisi zetu ni hadi utie kwenye briefcase/bag au ufungashe hadi watu wanakushitukia ulichobeba