Hahahaha mi nikichukia hata kuandika siwezi,, saiv mtu akiniboa naenda mahali pakimya narelax kwa muda nikirudi namlia timing namla kichwanahisi haujanizidi kwa kuwa short tempered mama halafu bora hata uwe unabishana na mtu mwenye hoja sasa mtanange unanoga usiombe unabishana na jitu halina hoja yaani unakosa hata nguvu za kuendelea, hayo alijisemeaga Mange Kimambi my role model kwenye kuchamba na kushusha magazeti.
nahisi haujanizidi kwa kuwa short tempered mama halafu bora hata uwe unabishana na mtu mwenye hoja sasa mtanange unanoga usiombe unabishana na jitu halina hoja yaani unakosa hata nguvu za kuendelea, hayo alijisemeaga Mange Kimambi my role model kwenye kuchamba na kushusha magazeti.
Na bahati mbaya block za jf hata hazifanyi kazi.
Mwenza kumjibu huyu Ni kujichosha tu.
Halafu nimegundua uzi una nyota yake huu,, watu wanalumbana kistaarabu ndo maana bado upo we nyuzi nyingine kunakuwaga na fujo mpk unahisi uko msituni unakimbizwaKaka wadogo zako watakiona Cha mtema kuni humu ndani
Wanajitia kuwachokoza dada zao yaani huu uzi Hadi umeisha hakuna rangi mtaacha kuona
Basi usimjibu nia yake ilikuwa kukuvuruga sasa na wewe ukampa nafasi,, mpuuze
Usiendeleze mada na mimi mkuu, we endelea kusoma comments enjoy pic bhaaaaaaasi!!!!!!!!!!!!!!!!!!Hakuna aliwai kushindana na mwanamke akashinda ,yule kayakanyaga mtoto wa kiume unaanzaje kubisha na mdada tena unamchamba kabisa yani unamkosoa ....
Huo ndo u-james delicious mwanaume unavunga tu yapite
Na nimejichosha haswaaa. Mpaka nimepata njaa
Halafu nimegundua uzi una nyota yake huu,, watu wanalumbana kistaarabu ndo maana bado upo we nyuzi nyingine kunakuwaga na fujo mpk unahisi uko msituni unakimbizwa
SanaHalafu nimegundua uzi una nyota yake huu,, watu wanalumbana kistaarabu ndo maana bado upo we nyuzi nyingine kunakuwaga na fujo mpk unahisi uko msituni unakimbizwa
Kanywe maji ya baridiiiii jiangalie kwenye mwili wako panapokupa raha utarelax
We naeeee!! Si useme wewe kwani umeshikiwa mikono.Mwacheni mbona kuna mtu anajadiliwa hapa na hamsemi au mpo mawindoni?? acheni DOUBLE STD
Ndo uzi wa kwanza mrefu nilioona watu wanabishana bila kutokea ban. Nyuzi za hivi huwa zinaishiaga na watu kupumzishwa
Achana nao tuendelee kuenjoy Pics +CommentsNiko nawaangalia tu, ila najua siku nikirudi najua nitapigwa LIFE BAN maana kuna watu watakimbia ID zao kimoja hapa...
Naona Mshana Jr anawaunga mkono wakati jana tulikubaliana kuwa hakuna haja ya kuendeleza majibizano maana content ya uzi wake utaharibika...
Wasione nimekaa kimya wakadhani huyu tumempatia...
Peace buddyUsiendeleze mada na mimi mkuu, we endelea kusoma comments enjoy pic bhaaaaaaasi!!!!!!!!!!!!!!!!!!
niseme nini binti, nshamalizana na jamaa, au kuna lingine??We naeeee!! Si useme wewe kwani umeshikiwa mikono.
Nshamaliza mkuu, Amani telePeace buddy
Nilikuwa naumia roho nikihisi tunajichosha kuandika na wewe upo bize na kazi hauna hata muda wa kusoma kumbe unafuatilia hatua kwa hatua.Niko nawaangalia tu, ila najua siku nikirudi najua nitapigwa LIFE BAN maana kuna watu watakimbia ID zao kimoja hapa...
Naona Mshana Jr anawaunga mkono wakati jana tulikubaliana kuwa hakuna haja ya kuendeleza majibizano maana content ya uzi wake utaharibika...
Wasione nimekaa kimya wakadhani huyu tumempatia...
Sijui ni Mimi mshamba tu!!!?
Ila siwezi bishana na mwanamke