NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,726
- 49,572
Duh, mi kila nikitaka kupiga msosi picha nakuja kukumbuka msosi wote ushakua tumboni.


Ukiona hivyo ujue hiyo tabia huna experience nayo 😂Duh, mi kila nikitaka kupiga msosi picha nakuja kukumbuka msosi wote ushakua tumboni.![]()
Sawa sawa ngoja nimalizeHahaha hebu tuone hapo miwani inakaa.
Ukimaliza huo ugoro njoo nikupe na shisha..
Duuh shukrani.Ni sawa na kusubiria meli itie nanga Airport sheikh
Pamoja sana mwambaDuuh shukrani.
Kwema mkuu
Au huwa unakula ukiwa na njaa sana??Duh, mi kila nikitaka kupiga msosi picha nakuja kukumbuka msosi wote ushakua tumboni.![]()
hahahhahahaha yani ulivyotuma picha toka ile sa11 picha haifunguki then caption umeandika umekua visibleKwanini mpendwa? Hahaaa




........ndio naiona picha sahii kumbe sio ww huyo cheusi classmate wanguHahahaha hizo tunaweka Kyle instagramNasubiria utakayoweka mkiwa na Chakorii nami natupia ...