Mnyatiaji
JF-Expert Member
- Dec 13, 2018
- 3,765
- 4,869
Apana mzee tujifunze pia
Dhaaaaa picha jaman
Muzistiri kidogo aisee
Sio kuwa open hiv
Dhaaaaa picha jaman
Muzistiri kidogo aisee
Sio kuwa open hiv
Mkuu nini kilitokea hadi ikawa hivyo aisee inasikitisha Sana dah.
Wivu wa kimapenzi binti akafanyw yakeMkuu nini kilitokea hadi ikawa hivyo aisee inasikitisha Sana dah.
Business idea; usiku watu wanarudi nyumbani au hotelini kupumzika na kukutana na wenza....wanahitaji energy booster. Usiku ndio mda sahihi wa kuuza karanga zenye energy booster
Namaanisha kutwa nashinda stand kuuza karanga.,akipita mchana atanikuta,ndio mitaa yangu ya kujipatia Mia mbilimbili za karanga.
Si kwamba nauza karanga usiku.
😂😂😂 Huko ni mbali.. Anyway hit my pm for goodUswahilini mabatini hapa![]()
Kura yangu ushapata mpenzi ladyfurahia .....wadau naombeni KURA ZENU kule jukwaa la stories of changes pls nawaomba akina Mshana Jr daddy Watu8, figganigga , Madame B , sosoliso , Bujibuji, Saint Anne , Saint Ivuga , Khantwe, REAGAN C.MABOGO snowhite na wadau wengine wa zamani na wasasa psls nipate kushinda ANDIKO LANGU LINASEMA "ONDOA HOFU ANZA SASA KUTHUBUTU "
Nimekwenda na nimeshakupigia kura..umekwenda kule jukwaani story of change maana nashindwa kuileta ile bandiko langu huku nafanyaje bestito
Asante dada.asante sana best ngoja nifanye hivyo
Niliona vingi.Umeona nini ? Chilita ni nini from your Meaning. ?
Verified members hao.sorry hizo tick mlilzowekewa hapo kwenye id zenu zina nini maana naona wengi wamewekewa
Nafurahi umesaidiwa
JamiiForums: Unaweza kuwa VERIFIED, fuata hatua hizisorry hizo tick mlilzowekewa hapo kwenye id zenu zina nini maana naona wengi wamewekewa
Habari na hoja mchanganyikoBANDIKO HALIFUNGUKI hahaaaaaaa lkwani liko jukwaa gani niende huko
Lizzy kama lizzyLate lunch View attachment 1899804