Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi hakuna mtaa sijawahi kwenda.
Nilianza kwenda shule ya jumapili Nikiwa mdogo sana na niliacha baada ya kumaliza STD 7 na kwenda sekondari.
Miaka takribani 10 naitumikia shule ya j2
Nilikuwa muanzishaji nyimbo,pia nilikuwa mpiga ngoma.

Tukienda huko tunafundishana nyimbo kibao...yaani mmarudi home mmechoka lakini mmefurahia.

Kuna namna mtoto anajengeka kwenye yale mazingira.

Wanangu wakifika miaka 3 tu naanza kuwapeleka.
 
Yale mazingira n mazuri Sana
Binafs yalinifunza na kuniepusha na
Mambo mengi sana ambayo Kama
Sio kwenda Ile shule bas

Hata shule ya msingi ingenishinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…