Selfika na JF: Snap it. Show it

Shetani kajibu zake very casual 😁😁...yani kama anaongea na mshkaji wake tu.

Ofcourse uwezo huo anao but then the whole concept of free will isingekuwepo. Ameamua kutuacha tujiamulie wenyewe....😏😏
 
Shetani kajibu zake very casual 😁😁...yani kama anaongea na mshkaji wake tu.

Ofcourse uwezo huo anao but then the whole concept of free will isingekuwepo. Ameamua kutuacha tujiamulie wenyewe....😏😏
Yaani hilo andiko la Ayubu limefanya nione kama kuna hujuma tumefanyiwa, yaani unamkamta adui yako on the spot lakini unaamua kumwachia tu eti.

Mimi naamini angemkamata pale na kumfunga huenda saivi tungekuwa tunaishi milele hapa Duniani
 
Dooh Apumzike kwa amani mpendwa wetu. Mungu aitie nguvu familia yake.
 
Yaani hilo andiko la Ayubu limefanya nione kama kuna hujuma tumefanyiwa, yaani unamkamta adui yako on the spot lakini unaamua kumwachia tu eti.

Mimi naamini angemkamata pale na kumfunga huenda saivi tungekuwa tunaishi milele hapa Duniani
Hayo maisha ya milele sasa....yanaonekana ni bomba sana so we have to earn it!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…