Selfika na JF: Snap it. Show it


Yesu ni wimbo wangu uh uh
Furaha ya Moyo wangu Yesu
Yesu rafiki yangu Mungu wangu
We ndo mpenzi wangu sitakwacha
Niende wapi?nimekuchagua wewe
Nimfwate nani? kwako Kuna utulivu

Tangu nilipokupokea wewe Yesu
Roho yangu ikajaa tumaini
Roho ikajaa na furaha
Tegemeo langu ni Yesu
Msaada wangu wa karibu ni wewe
Nakutegemea Yesu wangu

.........….…….…………………………
Yesu ni wangu wa siku zote
Yeye anajua maisha yangu
Hata usiku hata mchana
Yesu ni wangu wa siku zote
………………………………………………
.


Hata ningekuwa na mchumba yeleleleh
Hata ningekuwa na mume wangu
Angenipenda kamanna Yesu
Yesu ni wangu wa siku zote eh eh eh


Hata ningekuwa ningekuwa na baba yangu

Angenipenda kamana Yesu

Yesu ni wangu wa siku zote




This song

Chandelier de Gloire
 
Mimi nataka PombeπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…