Selfika na JF: Snap it. Show it


Asante sana kwa maombi baba mtumishi.

Wakati tunasubiri huo wakati wa mimi kuja kuketi pembeni kwenye kile kiti saafi ,basi tuanze kutoa ile emoj iliyoharibu picha.

Nipo chini ya miguu yako baba mtumishi
 
Ninong'oneze PM nikuletee

Ikikupenda utashangaa inakunenepesha, tena ukipiga na mdudu ndiyo utatisha zaidi
Kunenepa ni hadi niamue mwenyewe.

Sasa mkuu nakunong'onezaje wakati hata sizijui na majina sijakariri,,wamenitajia nyingii majina magumu ili nichanganyikiwe.

Wewe niletee yoyote yenye sukari na isiyonuka kama kinyesi.
Nipo hapa Uyole boss,Asante Sana
 
Nitakutafuta nikunyweshe hadi utembee kwa kutambaa. Niko njiani naja 😜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…