Happy birthdate mvunja ahadi.Wanaselfika mimi mwanachama mwenzenu leo nimefanikiwa kuongeza mwaka mwingine......imetimia 28
Mwakani inabd nioesi ett??
happy birthday to me GERALD View attachment 1870953
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
ngao ya jamii ukinifunga nakuhaid desperado 10........Happy birthdate mvunja ahadi.
Na print hii comment maana siku hazijawahi kuganda.ngao ya jamii ukinifunga nakuhaid desperado 10............
deal??
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
lastly....usitumie njia zako za kitamaduni na kijanja janja kushindaNa print hii comment maana siku hazijawahi kuganda.
Sure, Let's wait.
lastly....usitumie njia zako za kitamaduni na kijanja janja kushindayani shinda bila makando kando
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Big up man ..have blast oneeeeeeeWanaselfika mimi mwanachama mwenzenu leo nimefanikiwa kuongeza mwaka mwingine......imetimia 28
Mwakani inabd nioesi ett??
happy birthday to me GERALD View attachment 1870953
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Safi sana pastorNilimbatiza kumkabidhi rasmi kwa munguView attachment 1871201
DahTulipoamua kupandisha Tozo za Miamala tulikuwa tuna lengo zuri tu ila tulipoanza kusikia Kelele za Wananchi basi Serikali tukaona kwakuwa tunawajali Wananchi wetu tuingilie kati na sasa nimeunda Kamati ili kuliangalia hili na itakuja na majibu muda si mrefu" Rais Samia.
Asante kwa maombi yako, ukiendelea hivi lazima nifanikiwe malengo yangu haki ya Mama πͺπͺπ€£π€£π€£π€£ dah!
Haya bana ni siku mpya tena. Sir God akutangulie kwenye mambo yako π
Hongera sana.nimeokoka rasmi mtumishi
Hizi chanjo chomeni tu.Ni mengi
Leo ni siku ya uzinduzi wa chanjoView attachment 1871284
HallelujahAsante kwa maombi yako, ukiendelea hivi lazima nifanikiwe malengo yangu haki ya Mama πͺπͺ
Nasikitika ile agenda umeshindwa kuitolea maamuzi mwenyekiti licha ya kukuletea file langu.
Nasubiri kwa shauku majibu yangu π
Uwe na siku njema
Nikiona bus linachelewa, nitakuja mwenyewe kuyafata. Ingawa kutokana na chances ya kukubaliwa ni sawa na kukataliwa nimemtafuta mshauri nasaha aniweke sawa kupokea majibu ya aina zote.Hallelujah
Majibu yanakuja, ndiyo nimetoka kuyapandisha bus π
"Mimi ni Mama wa Watoto 4, Bibi wa wajukuu, mke lakini pia Rais na Amir Jeshi Mkuu nisingejitoa mwenyewe kujipeleka kwenye kifo nikijua nina majukumu yote haya, hii chanjo ni ya wataalamu na wataalamu wetu wamejiridhisha, NIKO TAYARI Kuchanjwa" Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu HassanHizi chanjo chomeni tu.
Wale uvccm ndio unaona kabisa akili hawana,wana njaa tu.
Wamebwabwaja jana,wale jamaa wanafiki sana
Sent using Jamii Forums mobile app