Selfika na JF: Snap it. Show it

πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† Na hayatokaa yawe fair kwenye ardhi hii iliyoachwa na kina Adam & Eva
Kwa kweli, alafu kwenye maandiko wamesema utafuteni kwanza ufalme wake na hayo mengine mtazidishiwa.

Nadhani Neymar JR ametimiza sana hilo takwa😜

Anyways, Hujambo lakini bibie?? Fanya kunitumia Sato kilo 10 πŸ˜„
 
Kwa kweli, alafu kwenye maandiko wamesema utafuteni kwanza ufalme wake na hayo mengine mtazidishiwa.

Nadhani Neymar JR ametimiza sana hilo takwa😜

Anyways, Hujambo lakini bibie?? Fanya kunitumia Sato kilo 10 πŸ˜„
🀣🀣 hujachelewa bado na wewe litimize.

Sijambo. ... Mbona huu mkoa nilipo hauna Sato wala Sangara? Hapa nilipo labda ndizi mshale au ndizi ng'ombe πŸ€ͺ
 
🀣🀣 hujachelewa bado na wewe litimize.

Sijambo. ... Mbona huu mkoa nilipo hauna Sato wala Sangara? Hapa nilipo labda ndizi mshale au ndizi ng'ombe πŸ€ͺ

Niombee kabla mwaka haujaisha nitusue, dalili nimeziona kwa Neymar JR πŸ˜„

Kumbe hatuko mbali sana, fanya chane 3 nikapate mbuzi choma πŸ˜‹πŸ˜‹
 
Nitafanya hivyo.. ila ukitusua usisahau waliokuombea 😎

Wee zinakuja na boda πŸ˜‰ we zisubiri stand tu
Usijali, nikifanikiwa kupata walau thelethi ya Utajiri wa Neymar JR basi Toyota V8 itakuhusu kama zawadi. Endelea kuniombea πŸ˜„


Tumwombe huyo boda awahishe hizo ndizi, manake mbuzi huku anashuka kwa haraka Sana kwa support ya πŸ₯‚
 
Inshallah... Mathayo 7:7-9

Anakaribia. Sogea stand 😎
Nimesoma hiyo Mathew 7:7-9 nimefarijika sana.

Nadhani ni muda mwafaka wa kutuma pia na yale maombi yangu mengine uliyoya reject kipindi kile 😜😜

Mungu ni mwema, utayapitisha kwa kura za kishindo πŸ™ŠπŸ™Š

Pokea na hiyo Hennessey uinywe taratibu wakati unapitia file langu 🍾🍾 πŸ™ˆ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…