Huko Ethiopia kuna kabila linaitwa Bodi, wanaume wanashindana kuwa na kitambi, mwenye kitambi kikubwa ndio anavutia warembo. Ukishinda kwa kuwa mwenye kitambi kikubwa zaidi unapewa tuzo ya ushujaa
Huko Ethiopia kuna kabila linaitwa Bodi, wanaume wanashindana kuwa na kitambi, mwenye kitambi kikubwa ndio anavutia warembo. Ukishinda kwa kuwa mwenye kitambi kikubwa zaidi unapewa tuzo ya ushujaaView attachment 1868693