Ndio ajue hata sisi ni wapenzi/wake za wanaume wenzie na uzuri wetu wanauona wao kama ambavyo wa mkewe anauona yeye. Yeye anaumia wake kupewa makavu live wakati bingwa wa kupaka wenzie
Eti hatuna kaziye mwenye kazi nzuri kapata wapi muda wa kufuatilia wanawake wa humu na kujua muda wote wapo online!!!
FURUSHI.
Doh!!
Kuna kitu Mdada wa humu alimfanya anamalizia furastresheni zake kwa Wadada wote wa JF..
Yes wamo wanaume humu wema na wabaya na nimeshakutana nao lkn siwezi kuponda wote kisa hao wabaya wachache walionikwaza,Yaani kosa la mtu mmoja ukandie watu wote.
Ajifunze kwetu, kosa ni lake na tumedeal nae yeye bila kuhusisha wanaume wengine wa jf.
Sio umekutana na sample moja haijakuridhisha ndio unajidai umeiona jf nzima.
Kwa kweli amuonee huruma wayamalize...
Ndio maana nilisemaga huyo alomvuruga afanye tu wepesi maana mwenzie anachizika.
Alimkosea nana halafu eti ndio anajiona ana malezi mazuri na wenzie wana malezi mabovu. Mie nilimpa makavu vikamuingia akaishia kunitukana.Hahaha katika vitu sipendi ni dhihaka mpaka kumfanya mtu akakosa uhuru na kujiamini!!! Halafu vifanywe na mwanaume!! alimkosea sana demiss na juzi nilimwambia kiungwana tu amuombe radhi
Hivyo ulivyo mrembo utakuta jamaa yako kumenya tunda mpaka umbelezeEeeeh
Hahaha hamna, ukweli kazima usemwe
Umeona hicho kifua kilivyo kitamu
Nasubiria yako FraggyKwa kweli amuonee huruma wayamalize...
Maana tunapata tabu sana...
Sasa Wadada mpaka wameamua kuchomoa Betri wenyewe
Na pete umevua, nakusemea.Ayaya
Hahahahahahahahah tena ana tamaa haswaaaaaaaaaaWe wanawake wote kwenye huu uzi unawataka!! Ngoja nikajianike nikauke tu hakuna namna
Alisema eti mnampaparikia pmYaani kosa la mtu mmoja ukandie watu wote.
Ajifunze kwetu, kosa ni lake na tumedeal nae yeye bila kuhusisha wanaume wengine wa jf.
Sio umekutana na sample moja haijakuridhisha ndio unajidai umeiona jf nzima.
Hahaha mimi sijamtaka hata mmoja nimewasifia tuWe wanawake wote kwenye huu uzi unawataka!! Ngoja nikajianike nikauke tu hakuna namna
Hivyo ulivyo mrembo utakuta jamaa yako kumenya tunda mpaka umbeleze
Hahahahahahahahah tena ana tamaa haswaaaaaaaaaa
Hahaha mimi simtaka hata mmoja nimewasifia tu
Au kumsifia mwanamke siku hizi ni kumtaka
Kazi? Afanye kazi saa ngapi na apate muda saa ngapi wa kuzunguka pm kutafuta picha za wadada wa jf.Ndio ajue hata sisi ni wapenzi/wake za wanaume wenzie na uzuri wetu wanauona wao kama ambavyo wa mkewe anauona yeye. Yeye anaumia wake kupewa makavu live wakati bingwa wa kupaka wenzie
Eti hatuna kaziye mwenye kazi nzuri kapata wapi muda wa kufuatilia wanawake wa humu na kujua muda wote wapo online!!!
FURUSHI.
Baharia anakwambia mnamshobokea kwa ID zenu mpya mpya π π hamna techniques za kwenda kuomba namba yake PM daily anawachana huko PM na kuwatimua jamani jamaniEwaaaaa, akikandia tuu picha ya mke wake nimeihifadhi.
π€£π€£π€£π€£Nasubiria yako Fraggy