Selfika na JF: Snap it. Show it

Usiwe hivo, tupe uhondo...
Tunaita kinaka/kikanda.
Watu wa nyanda za juu kusini watakuwa wanaelewa zaidi.
Kinaota ardhini,kinachimbwa km viazi,kinaanikwa kinatwangwa,kinaanikwa tena, kinachekechwa ,inakuwa kama unga hivi.
Upikaji wake watu huchanganya na karanga zilizotwangwa na kuchekechwa .
Kinawekwa magadi, na chumvi,,wengine huweka pilipili kuongeza ladha.
Kinasongwa kama ugali ..
Waweza kula na ugali ama chenyewe kama hivyo.
 
So, ni mboga?
 
Inaweza tumika kama mboga ukitaka.
Kule kusini alipo Chakorii kuna kitu cha namna hiyo wenyeji wanaita Ming'oko.

Inaweza kuliwa kwa chai au kutumika kama mboga wakati mwingine.

Nilipofika Njombe pia, niliona kinapatikana. Kama sijasahau Njombe kule wanaita Vitundi.

Inasemekana ukila vyakula hivyo vya asili huongeza nguvu za kiume pamoja na kuboresha kinga ya mwili (Sijafanya utafiti kujua ukweli wake - najihami kwa maswali) πŸ˜€πŸ˜€
 
Woyoooooooooooh, umemalizaaaaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…