Selfika na JF: Snap it. Show it

Hivi mtu akitaka kuhudhuria faraghani (mfano mimi ambaye si muumini wa huko); nikija lazima nivae skirt ya marinda na kunyoa au kilemba?
 
Hivi mtu akitaka kuhudhuria faraghani (mfano mimi ambaye si muumini wa huko); nikija lazima nivae skirt ya marinda na kunyoa au kilemba?
Wao wanasema unaweza kwenda tu hivyohivyo japo itapendeza zaidi kama ukivaa marinda na ukafunga japo kilemba.

Ukifika huko watakushawishi tu hadi utabadilika,
Influence ni kubwa mno.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni shindikanika, kubadilika hapana. Ngoja nianze kuvizia sketi za marinda
Wao wanasema unaweza kwenda tu hivyohivyo japo itapendeza zaidi kama ukivaa marinda na ukafunga japo kilemba.

Ukifika huko watakushawishi tu hadi utabadilika,
Influence ni kubwa mno.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…