Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,376
Mwenza Rafiki kule kwa kujikana hasa hakuna Utubu dhambi na ukaludie tenaa ni mwiko.. Ndo maana sisi vijana panatushindaa maana Mungu hadanganywi aseee nikitulia nikiona now nimeamua kuwa wa Mungu 100%
Taludi nijiandalie Safari ya Mbinguni
Mimi kwa sasa siwezi rudi mazima kule.
Kuna dogo mmoja nimemuacha udom,anapiga sana drums kanisani ..huwa ananiambia dada mimi nitarudi tu,sasahivi dunia inanisumbua
Yeye suruali za vitambaa ni mtihani kwake.
Anavaa modo yaani,ila siku akijisikia kwenda anaenda tu kusali ila bado hajatubu..familia yao kuanzia babu yake na bibi yake ni wanauwata.
Sent using Jamii Forums mobile app
Weehapana kwa kweli.
Labda nikishaolewa ndio nitaingia mazima ila sasahivi hapana siwezi kuingia mazima.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unakuwa umejitoaukiwa mvivu kwenda faraghani na kuomba patakushinda tyu
NdiyoUkiwa vizuri ndani(unaelewa) huwez kataa
Mwenza Rafiki kuna mambo mengi Uwata mazuri Saint Anne hajasema kaenda moja kwa moja shida ilipo... Muulize kama ukifata maagizo yote kama kutakuwa na jambo Gumu..Ujue sio kwamba tunapinga, kwa sababu spiritually hivyo ndivyo inavyotakiwa. Unaomba kwa imani, unajibiwa kwa imani na unapokea kwa imani. Sasa si kuna ule muda tunatazama mambo kwa jinsi ya mwili, ndiyo hapo sasa unasema khaaaa yaani huyu ndiyo anioe, kwa sababu inawezekana kabisa kwa jinsi ya mwili naona mmmh huyu hapana. Mambo ya rohoni.......
Olewa nje ukimaliza ludi mjengoni simple tuuUnakuwa umejitoa
Mimi kuomba siyo mvivu..hata wakisema tusali siku nzima ninaweza.
Kwenda faraghani ratiba imebana Sana,ila ratiba ikiwa free siyo shida kabisa.
Zile amri za Mungu kuzifuata haina shida kabisa,nakomaa kibishi .
Ila tu Mambo ya kuchaguliana watu hapana kwa kweli, na ni lazima atokee hukohuko faraghani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah!Namfahamu huyo dogo...
Kwel Mwenza Rafiki nitaludi sio mudaUtulie tu urudi mapema, hatuijui siku wala saa.
Mwenza Rafiki kuna mambo mengi Uwata mazuri Saint Anne hajasema kaenda moja kwa moja shida ilipo... Muulize kama ukifata maagizo yote kama kutakuwa na jambo Gumu..
Kwanza Uwata sio kanisa ni jumuiya... Kila mtu ana dhehebu lake mfani me kanisa langu ni morovian usharika wa Luanda kule.. Pale uwata tunaenda kama fellowship kusoma biblia kuomba pamoja na kujifunza kumpendeza Mungu ndo lengo kubwa haya ya ndoa sijui sio lengo la Mtu lililompeleka Uwata..
Ni kweli kabisa,lakinikwa nni lakini Anne? Huyo anakuwa ndiyo chaguo lako kutoka kwa Bwana
Mimi naona hata nikibaki huku ni sawa tu maana nimeokoka na Yesu nampenda mno.Utulie tu urudi mapema, hatuijui siku wala saa.
Yaani ile jumuiya imejumlisha waumini sanasana wa Lutherani na moraviani.Weeee hapo Luanda hatujawahi kuonana kweli?
Ooh kumbe ni kama jumuiya tu, kwa mfano sasa wewe m-moravian ukitaka kuoa si unaweza ukachagua tu yeyote au hadi na yeye awe wa faraghani? Na ndoa mnafungia wapi?
Kila kitu kina changamoto yake.Olewa nje ukimaliza ludi mjengoni simple tuu
Ni kweli kabisa,lakini
Yaani nikienda ujue naenda kubet,
Naweza bahatika kuchaguliwa niliyemuelewa..ila naogopa endapo ikatokea ikawa kinyume.
Mimi hilo tu ndilo lililonifukuza kule.
Halafu mm nataka mtu wa kawaida tu,tukiwa wote walokole wa kupindukia haki vichaa ndio vinamoanziaga
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes ni sawa tu kabisa. Ila daah natamani kweli urudi ubambikwe mchumbaMimi naona hata nikibaki huku ni sawa tu maana nimeokoka na Yesu nampenda mno.
Utakatifu nautafuta sana hata huku nje,,nikienda huko ni ziada tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mambo mazuri nimeyasema.Mwenza Rafiki kuna mambo mengi Uwata mazuri Saint Anne hajasema kaenda moja kwa moja shida ilipo... Muulize kama ukifata maagizo yote kama kutakuwa na jambo Gumu..
Kwanza Uwata sio kanisa ni jumuiya... Kila mtu ana dhehebu lake mfani me kanisa langu ni morovian usharika wa Luanda kule.. Pale uwata tunaenda kama fellowship kusoma biblia kuomba pamoja na kujifunza kumpendeza Mungu ndo lengo kubwa haya ya ndoa sijui sio lengo la Mtu lililompeleka Uwata..
Sijawahi kuplan kuwa na mtu anayenizidi kiwango Cha maombi.Hahahahahahaha eti vichaa jamani. Si ndiyo raha sasa, wote wa rohoni
Mimi hata Sasa nipo hukoYes ni sawa tu kabisa. Ila daah natamani kweli urudi ubambikwe mchumba
Aah itakuwa... Kanisa langu hilo kabla sijakimbia mbeya nakumbuka sunday school ilikuwa Luand six na Amani... Enzi hizo...Weeee hapo Luanda hatujawahi kuonana kweli?
Ooh kumbe ni kama jumuiya tu, kwa mfano sasa wewe m-moravian ukitaka kuoa si unaweza ukachagua tu yeyote au hadi na yeye awe wa faraghani? Na ndoa mnafungia wapi?