ManchoG
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 2,543
- 3,126
Huyo akitupia bila kobasi na joho usiaminiwoiiiiii
Me siweki hadi nione age mate wangu hapa!!
Zurri naomba tukuone sheikh![]()
Huyo akitupia bila kobasi na joho usiaminiwoiiiiii
Me siweki hadi nione age mate wangu hapa!!
Zurri naomba tukuone sheikh![]()
Asanteeeeeeeee mkweeeee kwa kutupa picha yakeeBabu hii miwani uliazima kwa nani?View attachment 1217479
Hallelujah!!!!Maisha bna. Huyo aliyewah kukucheka ni yeye....amin usiamini kuna watu tunapenda vimifupa balaa
hiii kwenye ile sherehe ya mpwa wakoo nilkutana nae mkono wa pilii ameshikaa furuuu sanaaa kijebaaaBabu kwenye ubora wakeView attachment 1217482
Na hallelujah kabisa?!!. Pole,kama huwa unafikiri kuwa hatupo tunaopenda wa hivyo. Ndio hali halisi best.Hallelujah!!!!
Nawe naona umenunua kiatu kipya...
View attachment 1217485
mwambie mdogo ako,shemeji yake sipendi hayo ma lips stick sijui lips shine
Haha namuelewa sheikhHuyo akitupia bila kobasi na joho usiamini
Haya madumu sio ya panado haya??No mane no dlink View attachment 1217375View attachment 1217376