figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 26,679
- 59,176
Mkuu, umeamua kutumia brand za Mia. Thubutu kukutwa umetumia Mia, unarudishiwa bando lako🤣🤣🤣. MiaMia.
Mkuu, umeamua kutumia brand za Mia. Thubutu kukutwa umetumia Mia, unarudishiwa bando lako🤣🤣🤣. MiaMia.
Ngoja tuone akija ana majibu gani@Shunie ukuje huku mdogo wangu, paroko ana neno nawe
NdiooooKama mimi vile![]()
Unawaka ww alafu leo nimekuona town
Yeaah. Nataka uwekeJohnny, na wewe unataka niweke?
Once a Gunner always be a Gunner come on you gonner
Wadhifa kama wote, nina neno naona kama vile umeugusa moyo wa baba paroko
Hadi tujiridhishe kama kweli uko na sisi unaweza ukatutoroka baada ya kufungwa
Sijui kiswahili ni kigumu ama bichwa langu halielewiii...Weka basi kapicha kako tunaweza kupata nafasi za wazi.![]()
Sawa kakakeNgoja tuone akija ana majibu gani