Hili joto ninalohisi na presha ya kupanda na kushuka ninayohisi asubuhi hii ni ya aina yake toka nizaliwe..
Text zangu zimefumaniwa!
Kama text tu zinanifanya nihisi kama niko Jehanam, najiuliza ningefumwa kwenyewe ingekuwaje?
Uhuni sio deal Wakuu, mbona mateso kiasi hiki!
Nirudi zangu porini mie nikaishi kwa amani maana nahisi kusakwa.