Kisa chenyewe kilitokea mlimani city kule upande wa chini kabisa kusiko na magari mengi upande wa Sam Nujoma rd. Tulikubaliana na jamaa yangu tukutane pale kuna mzigo nimpe, lakini baadae akanipigia simu kuwa kapata dharura hivyo anamtuma bebi wake na akampa na contact zangu Haukupita muda...