Selfika na JF: Snap it. Show it

Thank you Gerry, ndiyo nipo hivo mkuu ila kama unapenda niwe kibongee i will do it for you, ntajilazimisha kula hata milo 6 a day
hapana for me dont do that......mabonge kwa kweli hawanibariki
nawashangaa sana fans wa bonge nahs ni wagonjwa



mkuu wangu jinsi ulivyo ndivyo inavyotakiwa kua


sawa??

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Sawa mkuu nimekuelewa, ila tunatofautiana hizo nyama nyama zina raha yake kwanza unakua msoft tofauti na sisi tumekomaa mifupa mitupu😀😀
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…