Mazingira yanawabadilisha watu, situations zinawabadilisha pia. Kuna mambo mengi yanatubadilisha, ndio maana unaweza kusoma comments za mtu miaka mitano iliyopita, ukilinganisha na mwaka huu ukajiuliza imekuwaje tena mbona huyu hivi..
Daah kwa kweli imenisikitisha sana! Another man down!
I hope utaelewa kwanini wengine tumeamua kujiweka pembeni daddy! Tunajijua kabisa kuwa hatuwezi kuvumilia mambo kama haya ndiyo maana tukaona isiwe taabu!
Ngoja nimuite Chakorii aone bi mdogo anavyonifanyia. Hadi chakula cha usiku nanyiwa kisa nimeleta kilo 1 ya Nyama kwa bimdogo alafu nyumba kubwa nimepeleka kilo 2 🙆😭
Labda kama nmechanganya, coz ilikuwa n mwaka jana mwezi wa 2 tukiwa tunavuna mahindi tulikuta na nyoka flan hv n wanene afu wafupi, pamoja na kupanda mgongini lakin hakuleta shida yoyote mpaka tunakuja kushtuka kuwa n nyoka tukawapiga na kuwaua wanaowajua vzur ndio wakaniambia hvyo "hao nyoka hawanaga shida". hv hao kifutu ndo wale wanatanuaga vchwa or...?
Mimi kwenye ishu ya kufungua picha tu ndiyo nakereka! Imagine hata picha uliyoweka mwenyewe tu eti nayo inagoma kufunguka hadi yapite masaa sijui mangapi huko!