Yaani hata Khantwe naye anasemaga hivyo hivyo kuwa anashangaa kwanini watu wanacheka anayoyaandika wakati yeye anayaonaga ya kawaida. Ukiona watu wengi wanasema hivyo basi ujue kweli vinachekesha ila tu wewe mwenyewe unakuwa haunotice hicho kitu.
Hata hivyo hiyo Ilonga ni ndani ya Selous game Reserve.
Kijiji cha mwisho Iputi-Mbuga ambapo tuliingia saa 5 usiku.
Tulipumzika Ifakara nusu saa kwa chakula cha mchana na Mahenge napo nusu saa kwa chakula cha usiku.