Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna watu kadhaa walishaniambia pia ila siku tulia maanani saaana.

😁😁😁😁😁
 
Duuh saa sita unusu usiku? Wakati hapo Dar-Mbeya ushafika ushalala na uchovu wa safari ushapoa!
Hata hivyo hiyo Ilonga ni ndani ya Selous game Reserve.
Kijiji cha mwisho Iputi-Mbuga ambapo tuliingia saa 5 usiku.
Tulipumzika Ifakara nusu saa kwa chakula cha mchana na Mahenge napo nusu saa kwa chakula cha usiku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…