Selfika na JF: Snap it. Show it

Upo sahihi chief,nimetembea mikoa mingi nchini,ila nafurahia sana maisha na mandhari ya mikoa hii
Morogoro
Kilimanjaro
Mbeya
Iringa
Arusha

Ni Kati ya mikoa huwa napenda sana uoto asili wake. Pia nadhani ile kampeni ya kupanda miti irudi tena,tusije kuwa jangwa siku za mbeleni.
 
Duuh saa sita unusu usiku? Wakati hapo Dar-Mbeya ushafika ushalala na uchovu wa safari ushapoa!
 
Karma Moro ni kubwa mnooo aise...ni kama imekaa namba 8 hivii kho!!!!
😁😁😁kwahiyo mwandiko umekuchekesha hahahaha ulikuwa umemiss kucheka 😁😁

Yap usafiri w moja kwa moja ni mzuri sana sio ule wa kwenda kuchimba mizizi huko na kununua fudi khoooo...

Ohooo ingekuwa Town ningeshakuwa star sasa hivi maan ningetapakaa dunia nzima kwa kipindi kifupi mno..kila mtu mwandishi wa habari aiseh...nikilikumbuka lile tukio aiseh 😁😁😁na nikijiangalia...basi utukufu namkabidhi Bwana 😁😁

Ohooo nilijua ni yule aliyesambaza ndo mmeyamaliza...ila sio mbaya sana cha muhimu ni Amani tu.mAmbo mengine yanatokea maishani kwa ajili ya kitupa fundisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…