Selfika na JF: Snap it. Show it

kabisa yaani mie mwenyewe nilivamia ugomvi tu ila eti ndiyo nikajikuta nina hasira kuliko waliotukanwa hadi kaka wa watu kanung'unika haki inabidi niache huu utani wa kijinga humu JF kuna watu huwa wanamaindi kweli aise yaani mimi nikija kupata mume kauzu asiyependa matani sijui nitaishije nahisi nitakuwa nakula mabanzi kila siku
 
Wewe dawa yako Ni Lizarazu
.
Mbona atakubangua huo mdomo hadi ukae kimya
 
Picha za watoto zimekuwa zinanichanganya sana siku za karibuni..
Naweza kukaa nikazubaa wee naziangalia tu tofauti tofauti
Basi umekuwa mkubwa!
Fanya utararibu basi mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…