Selfika na JF: Snap it. Show it

Sasahivi wako busy kumtupia lawama.
Kila kitu yeye

Moyo wangu unaugua mno.

Ngoja tuwaache wajuvi wafanye mambo .
Hivi kwani hawawezi fanya tu bila kumsimanga?
Kuna persons baadhi wanavyo mdhihaki mwendazake, hadi napatwa na ganzi kabisa mwilini, siamini km ni wao yaan,

Kweli wanadamu ni wanafiki na hawana jema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…