Arien JF-Expert Member Joined Aug 29, 2017 Posts 11,245 Reaction score 11,777 Oct 3, 2019 #9,561 Saint anne said: Aiseee mwisho nitakuwa msumeno kabisa Click to expand... 🤣🤣🤣🤣🤣Itapendeza zaidi
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,463 Oct 3, 2019 #9,562 Uzi umeishiwa picha Kulikoniiii, tupieni hata za vikombe basi
Arien JF-Expert Member Joined Aug 29, 2017 Posts 11,245 Reaction score 11,777 Oct 3, 2019 #9,563 Sakayo said: Najua kunyoa pia Click to expand... Utupiamo tuone ukinyoa unakuwaje 😊
Hazard CFC JF-Expert Member Joined Apr 7, 2015 Posts 16,633 Reaction score 38,733 Oct 3, 2019 #9,564 Hahaha zipi? Sakayo said: Najua kunyoa pia Click to expand...
Arien JF-Expert Member Joined Aug 29, 2017 Posts 11,245 Reaction score 11,777 Oct 3, 2019 #9,565 Saint anne said: Wala... Wa hovyo tu. Ulishawahi kuona wapi walokole warembo bongo hii? Click to expand... Kwa sie ambao tushapitapita makanisa ya kilokole tunajua fika jibu la hili swali😂🤣
Saint anne said: Wala... Wa hovyo tu. Ulishawahi kuona wapi walokole warembo bongo hii? Click to expand... Kwa sie ambao tushapitapita makanisa ya kilokole tunajua fika jibu la hili swali😂🤣
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,271 Oct 3, 2019 #9,566 Pulisic CFC said: Mda wa kwenda viti virefu #rais wa kautaView attachment 1222835 Click to expand... Ni huyo nani....!!🏃
Pulisic CFC said: Mda wa kwenda viti virefu #rais wa kautaView attachment 1222835 Click to expand... Ni huyo nani....!!🏃
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Oct 3, 2019 #9,567 ArIeN said: Kwa sie ambao tushapitapita makanisa ya kilokole tunajua fika jibu la hili swali Click to expand... Usije kuwa umepita makanisa ya dar. Mimi nipo makanisa mbeya ndani ndani huku +kukulia kijijini woooi
ArIeN said: Kwa sie ambao tushapitapita makanisa ya kilokole tunajua fika jibu la hili swali Click to expand... Usije kuwa umepita makanisa ya dar. Mimi nipo makanisa mbeya ndani ndani huku +kukulia kijijini woooi
Arien JF-Expert Member Joined Aug 29, 2017 Posts 11,245 Reaction score 11,777 Oct 3, 2019 #9,568 Saint anne said: Usije kuwa umepita makanisa ya dar. Mimi nipo makanisa mbeya ndani ndani huku +kukulia kijijini woooi Click to expand... 🤣🤣🤣🤣Kumbe Kuna tofauti?! Ila si nasikia Mbeya town siku hizi
Saint anne said: Usije kuwa umepita makanisa ya dar. Mimi nipo makanisa mbeya ndani ndani huku +kukulia kijijini woooi Click to expand... 🤣🤣🤣🤣Kumbe Kuna tofauti?! Ila si nasikia Mbeya town siku hizi
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Oct 3, 2019 #9,569 ArIeN said: Kumbe Kuna tofauti?! Ila si nasikia Mbeya town siku hizi Click to expand... Town Sana tu.. Tatizo Sio mbeya..tatizo Ni Mimi
ArIeN said: Kumbe Kuna tofauti?! Ila si nasikia Mbeya town siku hizi Click to expand... Town Sana tu.. Tatizo Sio mbeya..tatizo Ni Mimi
Arien JF-Expert Member Joined Aug 29, 2017 Posts 11,245 Reaction score 11,777 Oct 3, 2019 #9,570 Saint anne said: Town Sana tu.. Tatizo Sio mbeya..tatizo Ni Mimi Click to expand... Tungekuwa hatujakuona labda lakini sio kwa bode Hilo kwa kweli 😂
Saint anne said: Town Sana tu.. Tatizo Sio mbeya..tatizo Ni Mimi Click to expand... Tungekuwa hatujakuona labda lakini sio kwa bode Hilo kwa kweli 😂
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,271 Oct 3, 2019 #9,571 kapeace said: Kuwa mwembamba bora ubaki chibonge, mi mwenyewe wembamba hapana Ngoja tuwasakue mabaharia wakuje wachukue jiko Click to expand... Mnashirikiana kutusema kiana we na Mzigua90 nawaona tu 😂😂😂 Saint anne twin ona hawa wadada 😂 wanasema wembamba hapana, inabidi tuongeze juhudi katika kula kabla huu mwaka kuisha nyama ziongezeke. Pulisic CFC mtetezi we si unapenda vimbau eeh 😂😂
kapeace said: Kuwa mwembamba bora ubaki chibonge, mi mwenyewe wembamba hapana Ngoja tuwasakue mabaharia wakuje wachukue jiko Click to expand... Mnashirikiana kutusema kiana we na Mzigua90 nawaona tu 😂😂😂 Saint anne twin ona hawa wadada 😂 wanasema wembamba hapana, inabidi tuongeze juhudi katika kula kabla huu mwaka kuisha nyama ziongezeke. Pulisic CFC mtetezi we si unapenda vimbau eeh 😂😂
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,271 Oct 3, 2019 #9,572 ArIeN said: 🤣🤣🤣🤣Kumbe Kuna tofauti?! Ila si nasikia Mbeya town siku hizi Click to expand... Hivi we umekula mchana? Umeoga? Kila nikipita kuchungulia nakukuta 😂😂😂😂
ArIeN said: 🤣🤣🤣🤣Kumbe Kuna tofauti?! Ila si nasikia Mbeya town siku hizi Click to expand... Hivi we umekula mchana? Umeoga? Kila nikipita kuchungulia nakukuta 😂😂😂😂
Kapeace JF-Expert Member Joined May 26, 2017 Posts 25,624 Reaction score 69,381 Oct 3, 2019 #9,573 We sio mwembamba bhana kile kitako bado nakikumbuka ujue Depal said: Mnashirikiana kutusema kiana we na Mzigua90 nawaona tu Saint anne twin ona hawa wadada wanasema wembamba hapana, inabidi tuongeze juhudi katika kula kabla huu mwaka kuisha nyama ziongezeke. Pulisic CFC mtetezi we si unapenda vimbau eeh Click to expand...
We sio mwembamba bhana kile kitako bado nakikumbuka ujue Depal said: Mnashirikiana kutusema kiana we na Mzigua90 nawaona tu Saint anne twin ona hawa wadada wanasema wembamba hapana, inabidi tuongeze juhudi katika kula kabla huu mwaka kuisha nyama ziongezeke. Pulisic CFC mtetezi we si unapenda vimbau eeh Click to expand...
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Oct 3, 2019 #9,574 Uhaba wa picha Kwa faida ya ambao hamkuwepo Naweka picha yangu Tena
Arien JF-Expert Member Joined Aug 29, 2017 Posts 11,245 Reaction score 11,777 Oct 3, 2019 #9,575 Depal said: Hivi we umekula mchana? Umeoga? Kila nikipita kuchungulia nakukuta 😂😂😂😂 Click to expand... Kwa kweli sijala Ila kuoga niliogeshwa na mvua ya jana.. Sema Leo njaa naisikia kwa mbaaaliii maana picha sio kama Jana & juzi aisee🤣🤣
Depal said: Hivi we umekula mchana? Umeoga? Kila nikipita kuchungulia nakukuta 😂😂😂😂 Click to expand... Kwa kweli sijala Ila kuoga niliogeshwa na mvua ya jana.. Sema Leo njaa naisikia kwa mbaaaliii maana picha sio kama Jana & juzi aisee🤣🤣
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Oct 3, 2019 #9,576 Sakayo said: Sio kweliii Click to expand... Nilijua tu yaani
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,271 Oct 3, 2019 #9,577 kapeace said: We sio mwembamba bhana kile kitako bado nakikumbuka ujue Click to expand... Mwembamba kwenye vinyama kwa mbali 😂
kapeace said: We sio mwembamba bhana kile kitako bado nakikumbuka ujue Click to expand... Mwembamba kwenye vinyama kwa mbali 😂
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Oct 3, 2019 #9,578 Depal said: Mnashirikiana kutusema kiana we na Mzigua90 nawaona tu Saint anne twin ona hawa wadada wanasema wembamba hapana, inabidi tuongeze juhudi katika kula kabla huu mwaka kuisha nyama ziongezeke. Pulisic CFC mtetezi we si unapenda vimbau eeh Click to expand... Pulisic na Lizarazu walishatusifia. Hao wengine hawana madhara. Mimi nimewaona,sema nimevaa miwani ya mbao...hawanitishi
Depal said: Mnashirikiana kutusema kiana we na Mzigua90 nawaona tu Saint anne twin ona hawa wadada wanasema wembamba hapana, inabidi tuongeze juhudi katika kula kabla huu mwaka kuisha nyama ziongezeke. Pulisic CFC mtetezi we si unapenda vimbau eeh Click to expand... Pulisic na Lizarazu walishatusifia. Hao wengine hawana madhara. Mimi nimewaona,sema nimevaa miwani ya mbao...hawanitishi
Arien JF-Expert Member Joined Aug 29, 2017 Posts 11,245 Reaction score 11,777 Oct 3, 2019 #9,579 Da'Vinci said: Saint anna nadhani hatudaiani tena.. View attachment 1222874 Click to expand... Mzee si ulisema mpk zifike page 500😆😆😆
Da'Vinci said: Saint anna nadhani hatudaiani tena.. View attachment 1222874 Click to expand... Mzee si ulisema mpk zifike page 500😆😆😆
Hazard CFC JF-Expert Member Joined Apr 7, 2015 Posts 16,633 Reaction score 38,733 Oct 3, 2019 #9,580 Weka tena nione ili niwatetee vizuri Depal said: Mnashirikiana kutusema kiana we na Mzigua90 nawaona tu Saint anne twin ona hawa wadada wanasema wembamba hapana, inabidi tuongeze juhudi katika kula kabla huu mwaka kuisha nyama ziongezeke. Pulisic CFC mtetezi we si unapenda vimbau eeh Click to expand...
Weka tena nione ili niwatetee vizuri Depal said: Mnashirikiana kutusema kiana we na Mzigua90 nawaona tu Saint anne twin ona hawa wadada wanasema wembamba hapana, inabidi tuongeze juhudi katika kula kabla huu mwaka kuisha nyama ziongezeke. Pulisic CFC mtetezi we si unapenda vimbau eeh Click to expand...