Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
Haaa kweli?Sijui mchumba
Sijawahi hata kwa bahati mbaya
Halafu naogopa sana maji
Haaa kweli?Sijui mchumba
Sijawahi hata kwa bahati mbaya
Halafu naogopa sana maji
Hahah!Nimependa sana avatar yako
Matches uvaaji wako.
Nitakufundisha mchumbaHaki tena
Sijui kabisa
Bora unifundishe kunywa bia nitakubali ila si kujaribu kuniingiza mimi majiniNitakufundisha mchumba




Bora unifundishe kunywa bia nitakubali ila si kujaribu kuniingiza mimi majini![]()





Umenifurahisha sana
Unanicheka?![]()
..bora pombe?Mara mia ninywe pombe kuliko kwenda kuogeleaUmenifurahisha sana..bora pombe?
Dah kuogelea very simpleMara mia ninywe pombe kuliko kwenda kuogelea
Shona litakupendeza sana,Hahah!
Nataka mwaka huu nishone gauni kama la huyo dada kwenye avatar. ..nililipenda Sana.
Mimi mwenzio sijuiDah kuogelea very simple



@Saint Anne alinifundisha kuto kukata tamaa nashukuru kwa kweli si haba hapa nilipo fikia wallahNgoja nipambane kama wewe ulivyopambana hadi kikaeleweka!![]()

Njtajitahidi niende nipige japo kapicha.Shona litakupendeza sana,
Uende photoshot pia.
@Saint Anne alinifundisha kuto kukata tamaa nashukuru kwa kweli si haba hapa nilipo fikia wallahView attachment 1736807








Achana na mpera aiseee kuna mianziUle mpera ukiwa mwembamba unanesa vizuri sna.



















kile kifito cheke eeh kinachapa adi akiri inakukaa sawahahahaha kwahyo mwakalinga nani??Mwakalinga.
Kanisani outreach tulikokuwa tunaenda kulikuwa na mtumishi anaitwa Mwakalinga,mwenyekiti wa maombi.
Uoneshe na nia oooh!!! sasa wewe kumuita tu unamuita kama unafokaaaaNgoja nipambane kama wewe ulivyopambana hadi kikaeleweka!![]()


