Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
A wapi
Umenifananisha.
Sipo Nzovwe.
A wapi





















mweee.. Nkwisa😂😂😂Nyie hampo
Isagha imma tumpale Malafyale![]()
wewe umetujaribu wote kwan🙄Hamtuli na mtu mmoja nyie
💯💯💯Kuna tatizo natengeneza makusudi hapa ili nigundue wanaonipenda kwa dhati.
Upendo haupo katika maneno
Unaonekana kwa matendo
Hauonekani kwenye raha
Huthibitishwa wakati wa shida
Ambwene Mwasongwe
Umenikumbusha ule wimbo wa Angwisa..mweee.. Nkwisa![]()
Kuna tatizo natengeneza makusudi hapa ili nigundue wanaonipenda kwa dhati.





Daah kitambo kwel hako kasong nikikapata takutumia mtakatifuUmenikumbusha ule wimbo wa Angwisa..
Sijui waliimbaga akina nani wale.
Ka muda sana.Daah kitambo kwel hako kasong nikikapata takutumia mtakatifu



Bahati mbaya app yangu haifungui attachmentsView attachment 1734166shika kwanza huu![]()

Me anapo nichosha tu anapata nguvu ya kulike comment 10000 anashindwa ata ku quote ata mojaAiseee
Bado siamini kama alinidanganya
Mvumilie hivyohivyoMe anapo nichosha tu anapata nguvu ya kulike comment 10000 anashindwa ata ku quote ata moja

Kwan anatumia simu gan zile motorola za mikonga auDadeq
Msaidie basi kutoa ile signatures inayojiweka akicomment..
Bila hivyo hatakuja kutujibu hapa






Alafu hii campun ya jr sio kabsa wana walingo sanawewe umetujaribu wote kwan![]()



Pole ngoja nidelete tuBahati mbaya app yangu haifungui attachments![]()
Ana simu Kali SanaKwan anatumia simu gan zile motorola za mikonga au![]()



Mwisho zitaoza saaaMvumilie hivyohivyo
"Mvumilivu hula mbivu"
Oh jamaniPole ngoja nidelete tu
