Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wanyakyusa wangu
IMG_20210325_140911.jpg
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mengi yasiwe mambo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanza safari yenyewe nililala njia nzima tangu tunatoka Udom..nilikuja amshwa wakati wa kushuka.
Sielewi hata tulipita wapi.

Wakati wa kurudi hivyohivyo... na huwa tunatoka usiku wa manane,tunasafiri usiku kucha yaani ile saa11 kamili tunakuwa tushafika stand mjini.
 
Back
Top Bottom