umenikumbusha nikiwa advance, kuna kipindi niliona mambo magumu afu yanani elemea, yaan nilikua km mwehu fulan hivi, nlivorudi home wote walikua wananshangaa nilikonda na kubaki mifupa tyuuh.
Unajua siwezi kabisa mie, yaan mie maisha yangu sijui yakoje kwa upande wa vyakula sasa vingi situmii,
siwezi kuishi na watu, ndo maan hata kwa ndugu siendi mie, maan ntakuwa nawapa mtihani tyuuh na kuwaharibia budget za maisha yao ya kila siku.
umenikumbusha nikiwa advance, kuna kipindi niliona mambo magumu afu yanani elemea, yaan nilikua km mwehu fulan hivi, nlivorudi home wote walikua wananshangaa nilikonda na kubaki mifupa tyuuh.
Unajua siwezi kabisa mie, yaan mie maisha yangu sijui yakoje kwa upande wa vyakula sasa vingi situmii,
siwezi kuishi na watu, ndo maan hata kwa ndugu siendi mie, maan ntakuwa nawapa mtihani tyuuh na kuwaharibia budget za maisha yao ya kila siku.
Chinese mnatia karanga? Mie mboga yeyote ikitiwa karanga tyuuh bas siri, hata kuiona tyuuh sitaki, mnawezaje nyie, hata home huwa nawashangaa San wenzangu. Lol