Selfika na JF: Snap it. Show it

Ndiyo
Mida hii ningekuwa chizi naokota makopo.

Kuna kipindi tu nilikuwa Kama chizi siyo chizi..mambo mengi hadi nikawa kama akili inaruka.
umenikumbusha nikiwa advance, kuna kipindi niliona mambo magumu afu yanani elemea, yaan nilikua km mwehu fulan hivi, nlivorudi home wote walikua wananshangaa nilikonda na kubaki mifupa tyuuh.
 
Yaan inaogopesha mno. Kwa kweli
Kwanza picha linaanza unavyofungua account yako..sisi ilikuwa SR,nyie mnaita ARIS sijui
Mara paah!unachungulia unaona rangi nyekundu na kanyota
unaweza tupa simu chini
Aisee
unajua hapa tayari

Nyie Kuna watu watakuja kufa kwa magonjwa ya moyo huko chuo
 
Muulize Karma atakuambia utamu wa hiyo mboga ya karanga
Unajua siwezi kabisa mie, yaan mie maisha yangu sijui yakoje kwa upande wa vyakula sasa vingi situmii,
siwezi kuishi na watu, ndo maan hata kwa ndugu siendi mie, maan ntakuwa nawapa mtihani tyuuh na kuwaharibia budget za maisha yao ya kila siku.
 
Mimi advance kuna kipindi nikawaambia home shule imenishinda

I was too serious
 
Unajua siwezi kabisa mie, yaan mie maisha yangu sijui yakoje kwa upande wa vyakula sasa vingi situmii,
siwezi kuishi na watu, ndo maan hata kwa ndugu siendi mie, maan ntakuwa nawapa mtihani tyuuh na kuwaharibia budget za maisha yao ya kila siku.
Kwa kweli
Wewe Kama ndugu yangu Bora usije

Kuna mgeni ashawahi kuja nyumbani,tumepika tumemaliza..tukamkaribisha,aisee anasema yeye hali wali

Halafu hapo tumepika wali..njegere.
Tukaanza tafuta mboga ili tupikie ugali
 
huyo aliwakomesha, hakutoa taarifa.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…