Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,552
- 235,326
Sisi wetu akikunasa nyavuni ndo unamjua alivyoNimekumbuka advance Sir wa math, alikua ana kigugumizi sasa hasira na gubu ndo kwake, akiwa class akiongea au kuelezea kitu, sasa wanafunzi wakicheka atasema hivyo tutaktan kwenye test, chini ya 70 nafia mtu,
Bas atatoa test utakuta wa kwanza ana chini ya 70.. Jamani atatandika fimbo km chizi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lol. Yaan class zima linanuka stick tyuuuh mweeeeh. Sitamsahau kamwee lol.
Mungu anirehemu"Mimi nalisema nawe wakati wa kufanikiwa kwako; lakini ulisema, Sitaki kusikia. Hii ndiyo iliyokuwa desturi yako tangu ujana wako, kutokuitii sauti yangu"
#Yeremia 22:21
Baba turehemu
Ongeza maombiAfu ni Kate tamaa hapana kwa kweli [emoji3590][emoji171]
[emoji137]Mama mchungaji,nime-zoom picha nimegundua upo njema sana idara flani hivi,na rangi ya chocolate,dah!?
Mungu fundi..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mitano tena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aninunulie mara ngapi sasa? RR ile? Hebu usijitoe ufahamu, au wivu lol. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Raha sanaVijembe Interchange πΈπΈπΈ
[emoji7][emoji7]
finally
Wacha bwana! Na hiyo USER 552140 (number yangu ya usajili jf) inafanya nini hapo![emoji1787] Sio mimi ni Anni huyo kaedit post yangu.
[emoji3][emoji3] [emoji2][emoji2]Dah umemamua kundiss kabisa mama [emoji76] ...zawadi yako hio.
[emoji23][emoji23] [emoji1787][emoji1787]Hivi nisipokusingizia wewe,nikamsingizie nani?
Dada mkubwa nae kaamua kutupia vitu!Alaaaaah,kwani sh ngapi!!πππ
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Bado namsaka Karma![emoji1][emoji1][emoji1]View attachment 1723523
Aiseee tumeshafika DVT ??T 362 DVT View attachment 1723543