Nimekumbuka advance Sir wa math, alikua ana kigugumizi sasa hasira na gubu ndo kwake, akiwa class akiongea au kuelezea kitu, sasa wanafunzi wakicheka atasema hivyo tutaktan kwenye test, chini ya 70 nafia mtu,
Bas atatoa test utakuta wa kwanza ana chini ya 70.. Jamani atatandika fimbo km chizi
"Mimi nalisema nawe wakati wa kufanikiwa kwako; lakini ulisema, Sitaki kusikia. Hii ndiyo iliyokuwa desturi yako tangu ujana wako, kutokuitii sauti yangu"
#Yeremia 22:21