Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sasa nakuelewa Kalumbu.
Nilikuwa na mwalimu wangu fulani alikuwa na kigugumizi aiseee...alikuwa na hasira Sana,yaani yule Kuna muda nahisi alikuwa anatamani atandike fimbo sema ndio vile chuo hakuna fimbo
.akiingia darasa lote kimya,mtu akizingua ni kufukuza nje na matusi aisee..yule jamaa
hahahahaha mimi time ya kubishana nakaa kimya sometimes ubishi wa simba na yanga natamani nichangie nakaa kimya....ila kwenye kuchart meseji buku week haifiki


hapa nna miez miwil kasoro sijaweka dk

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom