B R A C E L E T
JF-Expert Member
- Nov 11, 2018
- 2,358
- 4,406
Ndg geraldincredibleKwa style gani sasa
Au lbda nifanye duaaisseeeSasa nimekuelewa
Hapo sasa sijui umfate PM tu!
TobaaAta pm hajibuakikuurumia sana anakujibu baad ya mwezi
Nishauri nimkatie tamaa nitafute mwingine japo kwa kujilazimisha
Ujasiri huo unao😅aisseeeSasa nimekuelewa
Hapo sasa sijui umfate PM tu!
Nachukua notesKama hivihivi tu
Stori stori kama utani baadaye unachomekea mafunzo.
Basi me nikiskia sauti nzuri atakama sio maneno ya kawaida tu nahisi utamu wake.Maneno ndio yanayofanya mtu aifeel sauti ya mtu.
Sauti nzuri bila maneno ya kikarimu ni kazi bure!
Kumbe!Basi me nikiskia sauti nzuri atakama sio maneno ya kawaida tu nahisi utamu wake.
Uwiiii, nitaabika mimi na uqueen wangu wote huu umtag mtu alafu asikuji kitu inauma mpka kwenye uti wa mgongo...nitakufa jmn kuna watu zaidi ya 60 wako pm hawajajibiwaga since day one najiunga jfNdg geraldincredible
Mchanganuo wa namna ya kutag/kum-mention mtu JamiiForums
Bonyeza( @) alafu andika jina la mlengwa unayemtag bila kukosea Spelling hata moja kama jina lake ni herufi ndogo andika hivyo hivyo, vivyo hivyo likiwa la herufi kubwa kama langu S T O I C utaandika kwa herufi kubwa.
Tobaa
Sasa umechelewa tu,juzi kulikuwa na uzi watu wanataja macrush wao..huko Sasa ungemtaja.
Au jitahidi tu kumtag hapahapa,unaandika kitu ambacho akikisoma kitamfanya alazimike kukujibu.
A wapi usiogopeUwiiii, nitaabika mimi na uqueen wangu wote huu umtag mtu alafu asikuji kitu inauma mpka kwenye uti wa mgongo...nitakufa jmn kuna watu zaidi ya 60 wako pm hawajajibiwaga since day one najiunga jf
Alaf mtu mmoja tu unajitoa ufahamu unamtag jibu linakuja empty, una mp jibu linakuja olaaa..
Nibora ata pm pamejificha imagen umtag mtu hapa kwa umati wa tu alafu asiquote ooooh! no...aibu ya hapo aiseeee
Kwa upande wangu sauti nzuri ni mchawi wangu mzuri sana imagine unaambiwa maneno matamu kwa sauti tamu, unakemewa kwa sauti tamu so sweetie.Kumbe!
Mimi hata mtu angekuwa na sauti kama gari bovu,ili mradi anachokiongea ninanigusa basi mbona naonaga sauti poa tu!!na natamani kumsikiliza Muda wote.
Basi wewe ukija sikia sauti nzuri ya kipole,si utawehuka kabisa
Ni nani kwanza?Sema kweli..atajibu kweli
Nitaabika mimi jmn mtoto wa watu yule jamaa me najua hawezi uandika chochote nitakuwa nimejinunulia aibu ya mwaka..
Sana sana atalike tu na kwenda zake..
Sasa crush mbona mimi nina sauti ya gari mbovuKwa upande wangu sauti nzuri ni mchawi wangu mzuri sana imagine unaambiwa maneno matamu kwa sauti tamu, unakemewa kwa sauti tamu so sweetie.
Sauti mbaya /gari bovungoja kisirani kipande,alafu pia sidhani kama wenye sauti tamu wanavisirani sana.
Oooh jmn sinaga hayo ya kukagua ndo maan ata nikiandika mara nying nakuwa nachapia maan uwa sisomi nacho kiandika ila macho yangu ya yanakuwaga kwa keyboard tuHapana ndg geraldincredible hajui kutag kuna post nishaona anaweweseka sana, hata wewe hapo kuna kipindi ulikua hujui pia.
Sawa ngoja nijipange kisaikorojia....nitafute na maneno ya kuandika maan sio kazi ndogo kwa yule jamaaA wapi usiogope
Asipokujibu tunakusaidia kumwita
Crush usijali hua naongea kwa upole especially kwenye scene za kujenga pendo i hope ukiniskia tu automatically yakwako utaibadilisha na kuwa tamu na always itakua ivo💜Sasa crush mbona mimi nina sauti ya gari mbovu
Ila Mimi sauti huwa siipi kipaumbele
UsiogopeSawa ngoja nijipange kisaikorojia....nitafute na maneno ya kuandika maan sio kazi ndogo kwa yule jamaa
Yangu crush haijawahi badilikaCrush usijali hua naongea kwa upole especially kwenye scene za kujenga pendo i hope ukiniskia tu automatically yakwako utaibadilisha na kuwa tamu na always itakua ivo
Dah jina lake linaishia jrNi nani kwanza?
Ninong'oneze nipime uzito na nikupe mbinu ya kutumia