Hahahaha mimi sisifiagi kila mtu aise maana siwezi kuwa mnafiki yaani nikikuambia wewe ni mzuri ujue nimekuona mzuri kweli yaani hiyo compliment inakuwa imetoka moyoni hata Saint anne anajua hiliMi nasifia sana jamani. Rafiki zangu washaniambiaga mi sio kipimo kizuri cha kuongelea uzuri. Wanasema mi nasifia kila mtu
Pole sanaYani mambo yamekua mengi hadi nmepitwa na pic za hawa warembo
Saint anne Hannah Depal Sakayo
Fanyeni kunihurumia basi nami nishuhudie uumbaji
Ingizo jipya hilo... Leo kidau kinapanda[emoji7][emoji39][emoji23]View attachment 1222508
Naomba tu kuwakumbusha wale ambao Jana tulipitisha muda wa kula bila kujua.. It's lunch time.!!
😂 😂 😂Unadhani sipendi? Sina tu hela [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siku hizi wana vaa madela tu kama wazazinimetoka kumwambia mtu hivyo hivyo hapo juu..
viwango vinazidi pungua
Kuna ujumbe wangu nimeuacha.Njoo hapaa kaa ukomaze ubongo
Hiyo omba ya msamaha inatia hasira.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]una nini jamani eti??
Yaameanzia hapa hapa JF mpendwa 😀Duu haya yameanzia wapi tena?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]maombi yana nguvu hasa ukiyafanyia kolabo na jujuNimegundua nilikuwa sijasali asubuhi kabla ya kuingia humu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uzi ukawa unayumba[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aiseee kimbunga kikali kimepita hapo juu..Bora sikuwepo maana na huu wembamba Haki ya Nani kingenibeba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona magazeti tena!!Ila Kuna kauli sijapenda
Hiyo ya tecno Aiseee...Mara picha zinatoka vibaya...Sasa si Ni zao na wameridhika nazo ndio maana wakapost.
Kutumia iPhone kusimfanye mtu amdharau mtumiaji wa Samsung infinix au tecno...Ni priority tu jamani...hatuwezi kulingana.
Pia uzuri wa mtu upo machoni pa mtu... mambo ya kuanza kuponda wadada wa watu bila sababu za msingi sio uungwana.
Kama girlfriend wako Ni malaika kwako isiwe sababu ya wewe kuwakandamiza wasichana wengine na kuona hawafai...kuna wanaume wanaowaona wanafaa.
Na nyie wadada muache kuponda girlfriends za watu jamani lol[emoji23]
Pia mtu kukaa muda wote humu sio Kama Yuko useless au Hana kazi.
Kazi Ni kazi,haijalishi kubwa au ndogo zote Ni kazi.
Acheni kuona watu hopeless kisa wanashinda humu...kila mtu na priority zake...wengine jf Ni kama rafiki kwao.
It's a matter of choice &priority.
Kuna watu wapo humu nawajua Wana kazi na hela zao za maana...lakini hata siku moja hutawakuta wakikashfu watu
Jifunzeni kuongea na watu vema.
Hii jf Ina Watu wengi,waaminifu ,wema,wazuri...
Kupitia hii unaweza tengeneza undugu ujamaa na urafiki.
Tudumishe upendo,tafuteni Sana kuwa na amani na watu wote.
Heshima Ni kitu Cha bure
Jifunzeni kuongea lugha nzuri.
Ukijibu vizuri ama kukaa kimya hutakatika mkono Wala kichwa.
[emoji23][emoji23][emoji23]Haya ndio mambo Sasa [emoji39][emoji39][emoji39][emoji1786]
Mambo yangu chibonge Mimi..
Sio wengine mnapepeta pepeta tu midomo humu badala mlete hata vyakula kama hivi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Duu, basi mama punguza hasiraYaameanzia hapa hapa JF mpendwa [emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]maombi yana nguvu hasa ukiyafanyia kolabo na juju
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwaherini ..
Humu kimbunga kinaweza kurudi muda wowote.
Brother mshana usipulize dawa zako tafadhali....
Naenda kushika wingu huko....ukipuliza tutachanganya mambo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]halafu kweli watu wenye vitambi huwa mnavitumia multipurposelyKipo kidogo kinanisaidiaga kufutia TECNO yangu [emoji16][emoji16][emoji16]