cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,172
Hongera, nitumie nione kabla sijakutumia zawadi yako pendwa 😀😀Hahaha nimetoka kupima jana mpendwa
Nimekitupa mpendwaHongera, nitumie nione kabla sijakutumia zawadi yako pendwa 😀😀
Hapo ambulance lazima nije nayo wakati nakuletea kipimo, machale yamenicheza.😀🙈🏃🏻🏃🏻Nimekitupa mpendwa
Hahaha sawa uje nacho mpendwaHapo ambulance lazima nije nayo wakati nakuletea kipimo, machale yamenicheza.😀🙈🏃🏻🏃🏻
Mambo ni pouwa, sijui pande hizoNzuri Jirani mambo niaje!!za siku mobu
Sio chura tu na mguu wa bia ana malighafi zas kutosha,Jirani mwenye chura yake!![]()
Guu la Taifa😄😄😄
Uzi wa mambo ya kimasiahara hakuna kisa msimulizi asikitaje hichi kifaaView attachment 1717059
Wakati tukiendelea kujifukiza na kunawa na Maji tiririka tusisahau HIV bado ipo, play safe.
![]()


watu wanakumbuka shuka asubuhiAkitoa picha hapa la mguu atatingisha jf mitambo inaweza zima mzee babaGuu la Taifa![]()

, hebu tia nia nikuite shemejiHalafu unakuta anakumbuka akiwa ameshaloweka kavu.Uzi wa mambo ya kimasiahara hakuna kisa msimulizi asikitaje hichi kifaawatu wanakumbuka shuka asubuhi
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe katika pitapita zako hakuna mgombea hapa ambae ameshajitosa kwenye kinyang'anyiro hicho na akachukua jimbo?Akitoa picha hapa la mguu atatingisha jf mitambo inaweza zima mzee baba, hebu tia nia nikuite shemeji
Sent using Jamii Forums mobile app
Huku ni poa sana jirani.mbona umepotea Sana’a...wewe na kipenzi changu mmenitelekeza mjue!
Wewe katika pitapita zako hakuna mgombea hapa ambae ameshajitosa kwenye kinyang'anyiro hicho na akachukua jimbo?
Wagombea wapo sema hawajawa serious dah nimecheka mkuu, usimwangalia mpinzani we angalia kulinyakua kombe kwanza Wewe sasa jirani unanipigia promo😁😁😁safi!
Mzee wa misambwanda😁😁😁habari yako aiseGuu la Taifa😄😄😄
Jirani nipo sema hujafungua macho tu, Huyu ndugu mtu chake nae amepotea humu?Huku ni poa sana jirani.mbona umepotea Sana’a...wewe na kipenzi changu mmenitelekeza mjue!
Kwahiyo jirani unataka kuitwa shemeji😅😅 jichagulie shemeji umtakae...nataka jirani yangu ufurahiAkitoa picha hapa la mguu atatingisha jf mitambo inaweza zima mzee baba, hebu tia nia nikuite shemeji
Sent using Jamii Forums mobile app