Basi tuko tofauti.
Mimi unaweza uwe na namba yangu na usijue sauti yangu maana huwa sipigi wala kupokea😂😂😂
Hadi nimpigie mtu aisee,niwe nimemkubali sana na kumzoea mno.
Simu yangu ishaacha kupigwa maana mara nyingi aliyekuwa ananipiga ni mama tu ambaye kwa sasa nipo naye karibu.