Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Feb 20, 2021 #91,841 Pendael24 said: kama ni hivyo nami nipo kwenye ukongwe aisee maana kwangu ni mwaka wa saba sasa sijawahi kubadilisha Click to expand... HS tangu nimejiunga 2018 ndio namuona leo amebadili avatar Sent using Jamii Forums mobile app
Pendael24 said: kama ni hivyo nami nipo kwenye ukongwe aisee maana kwangu ni mwaka wa saba sasa sijawahi kubadilisha Click to expand... HS tangu nimejiunga 2018 ndio namuona leo amebadili avatar Sent using Jamii Forums mobile app
B R A C E L E T JF-Expert Member Joined Nov 11, 2018 Posts 2,358 Reaction score 4,406 Feb 20, 2021 #91,842 Pendael24 said: kama ni hivyo nami nipo kwenye ukongwe aisee maana kwangu ni mwaka wa saba sasa sijawahi kubadilisha Click to expand... Sindio ukongwe vitu kama avatar havikusumbui kichwa.
Pendael24 said: kama ni hivyo nami nipo kwenye ukongwe aisee maana kwangu ni mwaka wa saba sasa sijawahi kubadilisha Click to expand... Sindio ukongwe vitu kama avatar havikusumbui kichwa.
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Feb 20, 2021 #91,843 S T O I C said: Ooh basi naongelea avatar Click to expand... Kwahiyo sisi wa kubadili mara kwa mara bado hatujaiva? Sent using Jamii Forums mobile app
S T O I C said: Ooh basi naongelea avatar Click to expand... Kwahiyo sisi wa kubadili mara kwa mara bado hatujaiva? Sent using Jamii Forums mobile app
B R A C E L E T JF-Expert Member Joined Nov 11, 2018 Posts 2,358 Reaction score 4,406 Feb 20, 2021 #91,844 Saint Anne said: Kwahiyo sisi wa kubadili mara kwa mara bado hatujaiva? Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Bado ni wadogo, Mnafurahia ujana.
Saint Anne said: Kwahiyo sisi wa kubadili mara kwa mara bado hatujaiva? Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Bado ni wadogo, Mnafurahia ujana.
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Feb 20, 2021 #91,845 geraldincredible said: nimechange hali ya hewa naona ka nna kahoma.....nimewai doz Click to expand... Pole sana Ila bora upumzike kunywa bia Sent using Jamii Forums mobile app
geraldincredible said: nimechange hali ya hewa naona ka nna kahoma.....nimewai doz Click to expand... Pole sana Ila bora upumzike kunywa bia Sent using Jamii Forums mobile app
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Feb 20, 2021 #91,846 S T O I C said: Bado ni wadogo, Mnafurahia ujana. Click to expand... Aisee Mimi ni mzee lakini siachi kubadilisha kila nikijisikia Sent using Jamii Forums mobile app
S T O I C said: Bado ni wadogo, Mnafurahia ujana. Click to expand... Aisee Mimi ni mzee lakini siachi kubadilisha kila nikijisikia Sent using Jamii Forums mobile app
B R A C E L E T JF-Expert Member Joined Nov 11, 2018 Posts 2,358 Reaction score 4,406 Feb 20, 2021 #91,847 Saint Anne said: Aisee Mimi ni mzee lakini siachi kubadilisha kila nikijisikia Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Kizee teh teh 😂 Sifa ya pili mkongwe anatumia emoji 1 zikizidi sana 3,hasa kwenye kuonyesha kucheka tu, Ukiona unatumi 4 na kuendelea angalia umri wako jibu unalo.
Saint Anne said: Aisee Mimi ni mzee lakini siachi kubadilisha kila nikijisikia Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Kizee teh teh 😂 Sifa ya pili mkongwe anatumia emoji 1 zikizidi sana 3,hasa kwenye kuonyesha kucheka tu, Ukiona unatumi 4 na kuendelea angalia umri wako jibu unalo.
Heaven Sent JF-Expert Member Joined Sep 27, 2013 Posts 32,717 Reaction score 98,376 Feb 20, 2021 #91,848 Hii nayo nishawahi kuitumia na ipo na nyingine. Ila ile ya dreadlocks ndiyo mama lao, lazima irudi Saint Anne said: HS tangu nimejiunga 2018 ndio namuona leo amebadili avatar Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand...
Hii nayo nishawahi kuitumia na ipo na nyingine. Ila ile ya dreadlocks ndiyo mama lao, lazima irudi Saint Anne said: HS tangu nimejiunga 2018 ndio namuona leo amebadili avatar Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand...
sawima JF-Expert Member Joined Jul 9, 2019 Posts 5,646 Reaction score 8,736 Feb 20, 2021 #91,849 Saint Anne said: Itakuwa kuzimu Kuna gym Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... aiseee
Saint Anne said: Itakuwa kuzimu Kuna gym Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... aiseee
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Feb 20, 2021 #91,850 Heaven Sent said: Hii nayo nishawahi kuitumia na ipo na nyingine. Ila ile ya dreadlocks ndiyo mama lao, lazima irudi Click to expand... Doh enzi hizo unaitumia mimi nadhani nilikuwa busy nasongoka huko na kuchapana fimbo na walimu. Ila karoho kameniuma umeitoa hii Sent using Jamii Forums mobile app
Heaven Sent said: Hii nayo nishawahi kuitumia na ipo na nyingine. Ila ile ya dreadlocks ndiyo mama lao, lazima irudi Click to expand... Doh enzi hizo unaitumia mimi nadhani nilikuwa busy nasongoka huko na kuchapana fimbo na walimu. Ila karoho kameniuma umeitoa hii Sent using Jamii Forums mobile app
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Feb 20, 2021 #91,851 S T O I C said: Kizee teh teh Sifa ya pili mkongwe anatumia emoji 1 zikizidi sana 3,hasa kwenye kuonyesha kucheka tu, Ukiona unatumi 4 na kuendelea angalia umri wako jibu unalo. Click to expand... Tobaaa Kuna Wazee tunapenda kucheka jamani. Ila nipo kwenye mazoezi ya kuacha kutumia emoj Sent using Jamii Forums mobile app
S T O I C said: Kizee teh teh Sifa ya pili mkongwe anatumia emoji 1 zikizidi sana 3,hasa kwenye kuonyesha kucheka tu, Ukiona unatumi 4 na kuendelea angalia umri wako jibu unalo. Click to expand... Tobaaa Kuna Wazee tunapenda kucheka jamani. Ila nipo kwenye mazoezi ya kuacha kutumia emoj Sent using Jamii Forums mobile app
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Feb 20, 2021 #91,852 sawima said: aiseee Click to expand... nilikuwa nawaza tu Sent using Jamii Forums mobile app
Pendaelli JF-Expert Member Joined Feb 13, 2014 Posts 12,105 Reaction score 35,140 Feb 20, 2021 #91,853 Saint Anne said: Doh enzi hizo unaitumia mimi nadhani nilikuwa busy nasongoka huko na kuchapana fimbo na walimu. Ila karoho kameniuma umeitoa hiiView attachment 1707739 Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Hakika hii amedumu nayo Sanaa!
Saint Anne said: Doh enzi hizo unaitumia mimi nadhani nilikuwa busy nasongoka huko na kuchapana fimbo na walimu. Ila karoho kameniuma umeitoa hiiView attachment 1707739 Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Hakika hii amedumu nayo Sanaa!
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Feb 20, 2021 #91,854 Pendael24 said: Hakika hii amedumu nayo Sanaa! Click to expand... Mno yaani Sent using Jamii Forums mobile app
Pendael24 said: Hakika hii amedumu nayo Sanaa! Click to expand... Mno yaani Sent using Jamii Forums mobile app
Pendaelli JF-Expert Member Joined Feb 13, 2014 Posts 12,105 Reaction score 35,140 Feb 20, 2021 #91,855 Saint Anne said: Mno yaani Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Ila ndio maana nikakuambia wewe Ni binti usie mkubwa Sana unabisha, juzi juzi tu kumbe uoikuwa shuleni
Saint Anne said: Mno yaani Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Ila ndio maana nikakuambia wewe Ni binti usie mkubwa Sana unabisha, juzi juzi tu kumbe uoikuwa shuleni
B R A C E L E T JF-Expert Member Joined Nov 11, 2018 Posts 2,358 Reaction score 4,406 Feb 20, 2021 #91,856 Saint Anne said: Doh enzi hizo unaitumia mimi nadhani nilikuwa busy nasongoka huko na kuchapana fimbo na walimu. Ila karoho kameniuma umeitoa hiiView attachment 1707739 Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Ina maana ulikua darasa la 7 B😂 HS kajoin 2013.
Saint Anne said: Doh enzi hizo unaitumia mimi nadhani nilikuwa busy nasongoka huko na kuchapana fimbo na walimu. Ila karoho kameniuma umeitoa hiiView attachment 1707739 Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Ina maana ulikua darasa la 7 B😂 HS kajoin 2013.
Heaven Sent JF-Expert Member Joined Sep 27, 2013 Posts 32,717 Reaction score 98,376 Feb 20, 2021 #91,857 Hahahaa hiyo mbona lazima irudishwe; huyo ndiye HS sasa, hawa wengime wasaidizi tu. Nampumzisha kidogo Saint Anne said: Doh enzi hizo unaitumia mimi nadhani nilikuwa busy nasongoka huko na kuchapana fimbo na walimu. Ila karoho kameniuma umeitoa hiiView attachment 1707739 Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand...
Hahahaa hiyo mbona lazima irudishwe; huyo ndiye HS sasa, hawa wengime wasaidizi tu. Nampumzisha kidogo Saint Anne said: Doh enzi hizo unaitumia mimi nadhani nilikuwa busy nasongoka huko na kuchapana fimbo na walimu. Ila karoho kameniuma umeitoa hiiView attachment 1707739 Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand...
B R A C E L E T JF-Expert Member Joined Nov 11, 2018 Posts 2,358 Reaction score 4,406 Feb 20, 2021 #91,858 Saint Anne said: Tobaaa Kuna Wazee tunapenda kucheka jamani. Ila nipo kwenye mazoezi ya kuacha kutumia emoj Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Unaona hauhitaji mazoezi huja automatic tu umri ukifika.
Saint Anne said: Tobaaa Kuna Wazee tunapenda kucheka jamani. Ila nipo kwenye mazoezi ya kuacha kutumia emoj Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Unaona hauhitaji mazoezi huja automatic tu umri ukifika.
B R A C E L E T JF-Expert Member Joined Nov 11, 2018 Posts 2,358 Reaction score 4,406 Feb 20, 2021 #91,859 Heaven Sent said: Hahahaa hiyo mbona lazima irudishwe; huyo ndiye HS sasa, hawa wengime wasaidizi tu. Nampumzisha kidogo Click to expand... Sorry Lakini haina mvuto, Hio mpya ni nzuri.
Heaven Sent said: Hahahaa hiyo mbona lazima irudishwe; huyo ndiye HS sasa, hawa wengime wasaidizi tu. Nampumzisha kidogo Click to expand... Sorry Lakini haina mvuto, Hio mpya ni nzuri.
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Feb 20, 2021 #91,860 Heaven Sent said: Hahahaa hiyo mbona lazima irudishwe; huyo ndiye HS sasa, hawa wengime wasaidizi tu. Nampumzisha kidogo Click to expand... Hiyo picha naipenda sana aisee .. Hii avatar mpya sijui hata nakuonaje Sent using Jamii Forums mobile app
Heaven Sent said: Hahahaa hiyo mbona lazima irudishwe; huyo ndiye HS sasa, hawa wengime wasaidizi tu. Nampumzisha kidogo Click to expand... Hiyo picha naipenda sana aisee .. Hii avatar mpya sijui hata nakuonaje Sent using Jamii Forums mobile app