Msimamo wangu juu ya usaliti hauwezi kubadilika. Especially mwanaume anapokuacha akiwa asset, anarudi uzeeni akiwa liability afu eti umpokee "mume wangu" aseeeee
Msimamo wangu juu ya usaliti hauwezi kubadilika. Especially mwanaume anapokuacha akiwa asset, anarudi uzeeni akiwa liability afu eti umpokee "mume wangu" aseeeee
Wewe kama mwanamke najua unajua kuna wakati mnakua na dharura, na hio dharura inaweza kudumu hata miezi 6 na kuendelea, unadhani mwenzako ataishi vipi katika situation Kama hio?
Una bahati ya kufahamiana na watu makini sana ambao hawawezi kuvujisha picha zako hata iweje sie wengine tulishakosea njia saa hii picha zetu zishasambazwa huko
Una bahati ya kufahamiana na watu makini sana ambao hawawezi kuvujisha picha zako hata iweje sie wengine tulishakosea njia saa hii picha zetu zishasambazwa huko