Selfika na JF: Snap it. Show it

Jomoneeeh kumekucha huko, dunia tamu hii wallah, ndoa iliyofungwa juzi leo waanza kutupiana vijembe vya mali,
Wakili albeto msando aingilia kati kumueleza lulu kuwa mali za majizzo alizochuma kabla ya ndoa hazimuhusu.
Wapendwa zangu cc na moms nimewatag huko.
 
Hiyo comment ya Msando mbona ilikuwa kabla ya ndoa bana
 
Kazi ipo

Ni tz pekee kuna kila aina ya tukio
 
kwanza uliona video wakat wametoka kansan? Lulu anahaha hatulii yaan ni heka heka, aliniacha hoi eti "jamani simu yangu iko wapi nataka niingie insta"
Nilicheka nusu nizimie uwiiiiiih.
Duh

Kazi kweli.

Sikuona hata... niliona tu mtu kaweka status watsap wakiwa wanaingia kanisani na lile gauni lake tumbo lote liko nje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…