Selfika na JF: Snap it. Show it

Ila umeyataka brothermen, mpaka mama yako ametukanwa hilo ni kosa lako, unajishebedua kitu gani humu JF wakati watu humu ndani kila kitu ni fake kujisifiasifia kama wa kike unaboa sana, umefanya mpaka nimefuatilia kisa hichi nikagundua kosa lipo kwako, kuna watu na wadhifa zao lakini wametulia tuli sasa wewe ndugu yangu mpaka unaweka ligi na wadada how comes chalii,
 
Nia na madhumuni yako ni uzi ufutwe au?

Sidhani kama kuna mwanamke humu anahitaji kujua unafanya nini au unaingia wapi, au mkeo ni nani na ana nini,,

Tuheshimiane tu maana hali zetu kimaisha zinafanana, sijui ishu za natumia simu hii ukamdhihaki anaetumia ile ni ushamba na ulimbukeni

Waliokukosea wafate pm kwao wape vidonge vyao,, unasema wanawake wa humu, mkeo, mama shangazi, dada zako, marafiki zako penginepo hata maboss zako wako humu maana yake wote hao tunafanana akili na waliokukosea?
 
Depal hebu tumuaibishe shetani... If you don't mind tuachane na haya malumbano tafadhali
 
So funny wallah 😂😂😂 hivi lile neno CASE CLOSED hujalielewa au ubishi?!!

Emu tulia basi!!
 
Cardiovascular fanya kama hili limeisha maisha yasonge tafadhali
 
Siyo mtu wako lakini umemsifia kwahiyo kumbe unajua kuwa mwanamke anaweza akawa na kucha ndefu na akawa msafi tu si ndiyo??

Ndiyo siku nyingine ukome mdomo mtoto wa kiume umbea tuachie sisi watoto wa kike mtaja valishwa vijora bure mjini hapa shauri yenu!!
 
Sio kesi wala haikuwa na haja ya maelezo mareefu hivyo,
 
Anaitwa baharia mchomoa betri wa huku jf.

Naomba nitoke kwenye huu Uzi.
 
Karma hili tumeshasema limeisha kuliendeleza hakutasaidia kitu zaidi ya kuumizana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…