Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 361,100 Reaction score 831,745 Feb 16, 2021 Thread starter #91,141 S T O I C said: Huu nao unatoa onyo kuhusu kilevi pia, Huo mwingine unaeleza madhara/matokeo yatokanayo na kilevi. Click to expand... I think we need Devine power to understand the Holy Bible...la muhimu ni kutenda jambo sahihi kwa wakati sahihi na bila kudhuru nafsi au kukengeuka mafundisho ya Mungu na sharia zake
S T O I C said: Huu nao unatoa onyo kuhusu kilevi pia, Huo mwingine unaeleza madhara/matokeo yatokanayo na kilevi. Click to expand... I think we need Devine power to understand the Holy Bible...la muhimu ni kutenda jambo sahihi kwa wakati sahihi na bila kudhuru nafsi au kukengeuka mafundisho ya Mungu na sharia zake
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Feb 16, 2021 #91,142 Espy said: Duuuh!! Viatu virefu ni kipaji, mie vimenishinda kwakweli Click to expand... Aiseh pole ..sisi andunje inabidi tupambane na hivyo vigorofa tupate kuikaribia mbingu
Espy said: Duuuh!! Viatu virefu ni kipaji, mie vimenishinda kwakweli Click to expand... Aiseh pole ..sisi andunje inabidi tupambane na hivyo vigorofa tupate kuikaribia mbingu
geraldincredible JF-Expert Member Joined Mar 26, 2017 Posts 2,035 Reaction score 7,227 Feb 16, 2021 #91,143 Saint Anne said: Au tunywe Kilimanjaro tu Click to expand... hahahahahhahahaha nkamu ghwa bill ghweee
Saint Anne said: Au tunywe Kilimanjaro tu Click to expand... hahahahahhahahaha nkamu ghwa bill ghweee
Heaven Sent JF-Expert Member Joined Sep 27, 2013 Posts 32,717 Reaction score 98,376 Feb 16, 2021 #91,144 em vaa hivyo hivyo hata kama utatembea kama robot Espy said: Duuuh!! Viatu virefu ni kipaji, mie vimenishinda kwakweli Click to expand...
em vaa hivyo hivyo hata kama utatembea kama robot Espy said: Duuuh!! Viatu virefu ni kipaji, mie vimenishinda kwakweli Click to expand...
geraldincredible JF-Expert Member Joined Mar 26, 2017 Posts 2,035 Reaction score 7,227 Feb 16, 2021 #91,145 Saint Anne said: Maisha yafaa nini bila pombe? billdrago geraldincredible Nasema uongo ndugu zangu? Click to expand... uko sahihi sana ndugu yetu...maisha yangekuaje bila bia imagine
Saint Anne said: Maisha yafaa nini bila pombe? billdrago geraldincredible Nasema uongo ndugu zangu? Click to expand... uko sahihi sana ndugu yetu...maisha yangekuaje bila bia imagine
B R A C E L E T JF-Expert Member Joined Nov 11, 2018 Posts 2,358 Reaction score 4,406 Feb 16, 2021 #91,146 Saint Anne said: Different colors one people Sijui hata unaitwaje huu. Huyu jamaa kanifanya niwe nasikiliza huu muziki. Click to expand... Sure Alikuwa vizuri sanaa.
Saint Anne said: Different colors one people Sijui hata unaitwaje huu. Huyu jamaa kanifanya niwe nasikiliza huu muziki. Click to expand... Sure Alikuwa vizuri sanaa.
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Feb 16, 2021 #91,147 Heaven Sent said: em vaa hivyo hivyo hata kama utatembea kama robot Click to expand... 🤣🤣🤣🤣
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Feb 16, 2021 #91,148 geraldincredible said: hahahahahhahahaha nkamu ghwa bill ghweee Click to expand... Na hivi ulisema zimeshuka bei Mbona zitamkoma
geraldincredible said: hahahahahhahahaha nkamu ghwa bill ghweee Click to expand... Na hivi ulisema zimeshuka bei Mbona zitamkoma
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Feb 16, 2021 #91,149 S T O I C said: Sure Alikuwa vizuri sanaa. Click to expand... Mno
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Feb 16, 2021 #91,150 geraldincredible said: uko sahihi sana ndugu yetu...maisha yangekuaje bila bia imagine Click to expand... Pombe imeumbwa iwafurahishe watu Hicho kitabu Cha Sira
geraldincredible said: uko sahihi sana ndugu yetu...maisha yangekuaje bila bia imagine Click to expand... Pombe imeumbwa iwafurahishe watu Hicho kitabu Cha Sira
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,493 Reaction score 176,574 Feb 16, 2021 #91,151 Heaven Sent said: em vaa hivyo hivyo hata kama utatembea kama robot Click to expand... Bwana bwana haya mambo yana wenyewe, nilichoka nikaanza kuwaza hivi mateso yote haya ili nipate nini Mnaovaa hebu labda mtupatie somo mambo yanakuwaje kwa ground, maana loooh
Heaven Sent said: em vaa hivyo hivyo hata kama utatembea kama robot Click to expand... Bwana bwana haya mambo yana wenyewe, nilichoka nikaanza kuwaza hivi mateso yote haya ili nipate nini Mnaovaa hebu labda mtupatie somo mambo yanakuwaje kwa ground, maana loooh
B R A C E L E T JF-Expert Member Joined Nov 11, 2018 Posts 2,358 Reaction score 4,406 Feb 16, 2021 #91,152 Saint Anne said: Pombe imeumbwa iwafurahishe watu Hicho kitabu Cha Sira Click to expand... 😂😂😂😂, Iliumbwa siku gani.
Saint Anne said: Pombe imeumbwa iwafurahishe watu Hicho kitabu Cha Sira Click to expand... 😂😂😂😂, Iliumbwa siku gani.
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Feb 16, 2021 #91,153 Espy said: Bwana bwana haya mambo yana wenyewe, nilichoka nikaanza kuwaza hivi mateso yote haya ili nipate nini Mnaovaa hebu labda mtupatie somo mambo yanakuwaje kwa ground, maana loooh Click to expand...
Espy said: Bwana bwana haya mambo yana wenyewe, nilichoka nikaanza kuwaza hivi mateso yote haya ili nipate nini Mnaovaa hebu labda mtupatie somo mambo yanakuwaje kwa ground, maana loooh Click to expand...
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Feb 16, 2021 #91,154 S T O I C said: , Iliumbwa siku gani. Click to expand... Dah kwanza Mimi hicho kitabu sikijui
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Feb 16, 2021 #91,155 Espy said: Bwana bwana haya mambo yana wenyewe, nilichoka nikaanza kuwaza hivi mateso yote haya ili nipate nini Mnaovaa hebu labda mtupatie somo mambo yanakuwaje kwa ground, maana loooh Click to expand... Mimi nivyo tall basi huwa naelea navyo tu hewani
Espy said: Bwana bwana haya mambo yana wenyewe, nilichoka nikaanza kuwaza hivi mateso yote haya ili nipate nini Mnaovaa hebu labda mtupatie somo mambo yanakuwaje kwa ground, maana loooh Click to expand... Mimi nivyo tall basi huwa naelea navyo tu hewani
Heaven Sent JF-Expert Member Joined Sep 27, 2013 Posts 32,717 Reaction score 98,376 Feb 16, 2021 #91,156 Itabidi tuweke kambi ya mazoezi kabisa Espy said: Bwana bwana haya mambo yana wenyewe, nilichoka nikaanza kuwaza hivi mateso yote haya ili nipate nini Mnaovaa hebu labda mtupatie somo mambo yanakuwaje kwa ground, maana loooh Click to expand...
Itabidi tuweke kambi ya mazoezi kabisa Espy said: Bwana bwana haya mambo yana wenyewe, nilichoka nikaanza kuwaza hivi mateso yote haya ili nipate nini Mnaovaa hebu labda mtupatie somo mambo yanakuwaje kwa ground, maana loooh Click to expand...
Heaven Sent JF-Expert Member Joined Sep 27, 2013 Posts 32,717 Reaction score 98,376 Feb 16, 2021 #91,157 Wallah ukiwa mrefu + heels, unajikuta unaswing tu kama twiga Saint Anne said: Mimi nivyo tall basi huwa naelea navyo tu hewani Click to expand...
Wallah ukiwa mrefu + heels, unajikuta unaswing tu kama twiga Saint Anne said: Mimi nivyo tall basi huwa naelea navyo tu hewani Click to expand...
B R A C E L E T JF-Expert Member Joined Nov 11, 2018 Posts 2,358 Reaction score 4,406 Feb 16, 2021 #91,158 Saint Anne said: Dah kwanza Mimi hicho kitabu sikijui Click to expand... Nilitaka kusema ila nikakaa kimya nikaona labda sijafungua Bible fresh😂😂😂😂
Saint Anne said: Dah kwanza Mimi hicho kitabu sikijui Click to expand... Nilitaka kusema ila nikakaa kimya nikaona labda sijafungua Bible fresh😂😂😂😂
B R A C E L E T JF-Expert Member Joined Nov 11, 2018 Posts 2,358 Reaction score 4,406 Feb 16, 2021 #91,159 Mshana Jr said: View attachment 1703906 Click to expand... Mchoyo wa chakula atasemwa kijijini kote🥣😂😂
Mshana Jr said: View attachment 1703906 Click to expand... Mchoyo wa chakula atasemwa kijijini kote🥣😂😂
Eizyek JF-Expert Member Joined Aug 12, 2019 Posts 800 Reaction score 2,776 Feb 16, 2021 #91,160 cocastic said: Uote kwa kipi sasa? Haya ni matumizi mabaya ya ndoto. Hebu ota kwanza umenunua Range Rover, huku kwingne mtuache watu wenye mapene yetu. Click to expand... ngoja niendelee kusaka bugana cocastic lazima nije nikufokee na ndinga ya eshima
cocastic said: Uote kwa kipi sasa? Haya ni matumizi mabaya ya ndoto. Hebu ota kwanza umenunua Range Rover, huku kwingne mtuache watu wenye mapene yetu. Click to expand... ngoja niendelee kusaka bugana cocastic lazima nije nikufokee na ndinga ya eshima