Selfika na JF: Snap it. Show it

hongera sana cocastic umenitetemesha na ilo picha
wee acha kabisaa, umeona ndinga hilo? Yaan hata uncle mwenyew na msafara wake wakiniona na huu mkoko wanapisha mbali,
Haya sasa jipange vizuri huko, mie nakusubiri wee tyuuh.
Chezea watu na pesa zao, huhuhuhuh na simpi lift mtu atawehuka ndani ya chuma changu buree.
 
Mmmmmmmmh
 
sawa umeweza kutufokea
 
Aisee me ngoja niendeleze mahaba kwenye chombo changu cha usafiri iyo ata kuota kununua sijawai maana ni maji marefu
 
Kama ile niliyomuuziaga marehemu Ginimbi akapata nayo ajali akafa
 
Aisee me ngoja niendeleze mahaba kwenye chombo changu cha usafiri iyo ata kuota kununua sijawai maana ni maji marefu
Uote kwa kipi sasa? Haya ni matumizi mabaya ya ndoto.

Hebu ota kwanza umenunua Range Rover, huku kwingne mtuache watu wenye mapene yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…