Maana yake kama kiitikio cha salamu na hapo huwa kuna tofauti nyingi za kuitikia kutokana na koo/ukoo wa mtu
Mfano kuna koo/ukoo wa kuitikia eminza,eng'washi,enchama nk
Mhola du inatumika wakati wote ukiimaanisha mzima kabisa
Du maana yake(kabisa)
Mhola sana nayo ni mzima sana